masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
http://3.bp.blogspot.com/-UAUA1br9cvQ/UEtldvNzwUI/AAAAAAAAM0Q/SycH8RGJ8R4/s1600/Faraja.JPG
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka, akimfariji mtoto Salum Chinguile ambaye ni mmoja wa watoto wa Marehemu Koplo Yusufu Saidi, ambaye alikufa maji katika zoezi la kulinda amani mjini Darfur, nchini Sudan.
source3.bp.blogspots
Nimesikitishwa na kitendo cha benki ya CRDB kutoa rambi rambi kiduchu la laki tano kwa kila familia iliyopotelewa na askari huko Darfur.
mimi sielewi ujumbe wanaoutoa kwa wananchi, benki hii ambayo ni moja kati ya benki kubwa zaidi nchini.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka, akimfariji mtoto Salum Chinguile ambaye ni mmoja wa watoto wa Marehemu Koplo Yusufu Saidi, ambaye alikufa maji katika zoezi la kulinda amani mjini Darfur, nchini Sudan.
source3.bp.blogspots
Nimesikitishwa na kitendo cha benki ya CRDB kutoa rambi rambi kiduchu la laki tano kwa kila familia iliyopotelewa na askari huko Darfur.
mimi sielewi ujumbe wanaoutoa kwa wananchi, benki hii ambayo ni moja kati ya benki kubwa zaidi nchini.