CRDB NI AIBUkwa benki hii kutoa ubani wa laki tano kwa familia ya wanajeshi

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,171
http://3.bp.blogspot.com/-UAUA1br9cvQ/UEtldvNzwUI/AAAAAAAAM0Q/SycH8RGJ8R4/s1600/Faraja.JPG
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka, akimfariji mtoto Salum Chinguile ambaye ni mmoja wa watoto wa Marehemu Koplo Yusufu Saidi, ambaye alikufa maji katika zoezi la kulinda amani mjini Darfur, nchini Sudan.
source3.bp.blogspots

Nimesikitishwa na kitendo cha benki ya CRDB kutoa rambi rambi kiduchu la laki tano kwa kila familia iliyopotelewa na askari huko Darfur.
mimi sielewi ujumbe wanaoutoa kwa wananchi, benki hii ambayo ni moja kati ya benki kubwa zaidi nchini.
 
http://3.bp.blogspot.com/-UAUA1br9cvQ/UEtldvNzwUI/AAAAAAAAM0Q/SycH8RGJ8R4/s1600/Faraja.JPG
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka, akimfariji mtoto Salum Chinguile ambaye ni mmoja wa watoto wa Marehemu Koplo Yusufu Saidi, ambaye alikufa maji katika zoezi la kulinda amani mjini Darfur, nchini Sudan.
source3.bp.blogspots

Nimesikitishwa na kitendo cha benki ya CRDB kutoa rambi rambi kiduchu la laki tano kwa kila familia iliyopotelewa na askari huko Darfur.
mimi sielewi ujumbe wanaoutoa kwa wananchi, benki hii ambayo ni moja kati ya benki kubwa zaidi nchini.

Kutoa ni moyo..............sio benki......hata wewe unaweza kufariji
 
http://3.bp.blogspot.com/-UAUA1br9cvQ/UEtldvNzwUI/AAAAAAAAM0Q/SycH8RGJ8R4/s1600/Faraja.JPG
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka, akimfariji mtoto Salum Chinguile ambaye ni mmoja wa watoto wa Marehemu Koplo Yusufu Saidi, ambaye alikufa maji katika zoezi la kulinda amani mjini Darfur, nchini Sudan.
source3.bp.blogspots

Nimesikitishwa na kitendo cha benki ya CRDB kutoa rambi rambi kiduchu la laki tano kwa kila familia iliyopotelewa na askari huko Darfur.
mimi sielewi ujumbe wanaoutoa kwa wananchi, benki hii ambayo ni moja kati ya benki kubwa zaidi nchini.

Binafsi ninaamini umepata audacity ya kuwakandia CRDB baada ya wewe mwenyewe (uwe tajiri au masikini) kuchangia chochote. Kama hivyo ndivyo, ninakupongeza sana!

Kama hujachangia chochote bado, you better wisen up man and keep a lid on that big bowl of yours!!
 
Binafsi ninaamini umepata audacity ya kuwakandia CRDB baada ya wewe mwenyewe (uwe tajiri au masikini) kuchangia chochote. Kama hivyo ndivyo, ninakupongeza sana!

Kama hujachangia chochote bado, you better wisen up man and keep a lid on that big bowl of yours!!
Inauma eee!
 
http://3.bp.blogspot.com/-UAUA1br9cvQ/UEtldvNzwUI/AAAAAAAAM0Q/SycH8RGJ8R4/s1600/Faraja.JPG
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka, akimfariji mtoto Salum Chinguile ambaye ni mmoja wa watoto wa Marehemu Koplo Yusufu Saidi, ambaye alikufa maji katika zoezi la kulinda amani mjini Darfur, nchini Sudan.
source3.bp.blogspots

Nimesikitishwa na kitendo cha benki ya CRDB kutoa rambi rambi kiduchu la laki tano kwa kila familia iliyopotelewa na askari huko Darfur.
mimi sielewi ujumbe wanaoutoa kwa wananchi, benki hii ambayo ni moja kati ya benki kubwa zaidi nchini.
Wacha upuuzi, kwani hata wangetoa milioni kumi uyo mwanajeshi angefufuka????

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Inauma eee!

Yeah.. inauma kuona mtu anapanua bakuli lake kubwa na kutoa mbofumbofu dhidi ya mwingine ambaye walau kaguswa japo kidogo, huku mtoa mbofumbofu mwenyewe hata sensi tano hajatoa.

You must be suffering from CCMiasis whose symptoms are greed, selfishness and wickedness.
 
Yeah.. inauma kuona mtu anapanua bakuli lake kubwa na kutoa mbofumbofu dhidi ya mwingine ambaye walau kaguswa japo kidogo, huku mtoa mbofumbofu mwenyewe hata sensi tano hajatoa.

You must be suffering from CCMiasis whose symptoms are greed, selfishness and wickedness.
You're back?
Thats interesting, you must be one of those money bag geezers from the "Bank that listens".
Your fellow geezers up there with yourself make one hell of a misery bunch.

Kuuza sura for a paltry five hundred thou, thats what I call stingy.
And why did they have to send that poor lady, coats and tails and all, would have been better if you had not called the press.
By the way where was the big man himself?
Out and away in the US, to be exact, probably spending a few hard earned vijisenti.

You guys are very stupid, whom do you think you are taking for a ride?

Stingy lot.
 
You're back?
Thats interesting, you must be one of those money bag geezers from the "Bank that listens".
Your fellow geezers up there with yourself make one hell of a misery bunch.

Kuuza sura for a paltry five hundred thou, thats what I call stingy.
And why did they have to send that poor lady, coats and tails and all, would have been better if you had not called the press.
By the way where was the big man himself?
Out and away in the US, to be exact, probably spending a few hard earned vijisenti.

You guys are very stupid, whom do you think you are taking for a ride?

Stingy lot.
Ni aibu nafikiri kwa Benki kubwa kama CRDB kutoa laki tano kama ubani wakati wao wana tengeneza mabilioni.
kuna ulazima gani kujionyesha mbele ya kadamnasi kwa hela ndogo kama hiyo?
Kama msukumo wao CRDB ulikuwa wa kibinadamu TU, basi wangefanya shughuli hiyo kimya kimya.
 
Wanawakibika kutoa Au wamekotolea Jamani? Ha, Mbona m5 nyingi Jamani?


QUOTE=masopakyindi;4624508]http://3.bp.blogspot.com/-UAUA1br9cvQ/UEtldvNzwUI/AAAAAAAAM0Q/SycH8RGJ8R4/s1600/Faraja.JPG
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka, akimfariji mtoto Salum Chinguile ambaye ni mmoja wa watoto wa Marehemu Koplo Yusufu Saidi, ambaye alikufa maji katika zoezi la kulinda amani mjini Darfur, nchini Sudan.
source3.bp.blogspots

Nimesikitishwa na kitendo cha benki ya CRDB kutoa rambi rambi kiduchu la laki tano kwa kila familia iliyopotelewa na askari huko Darfur.
mimi sielewi ujumbe wanaoutoa kwa wananchi, benki hii ambayo ni moja kati ya benki kubwa zaidi nchini.[/QUOTE]
 
Sorry sikusoma Poa, hii Ni Aibu! Laki 5 Jamani? This is stupidy kabisa, Huu Ni mchango Wa harusi, sio Unami Watu waliompoteza bread winner!



QUOTE=uttoh2002;4631792]Wanawakibika kutoa Au wamekotolea Jamani? Ha, Mbona m5 nyingi Jamani?


QUOTE=masopakyindi;4624508]http://3.bp.blogspot.com/-UAUA1br9cvQ/UEtldvNzwUI/AAAAAAAAM0Q/SycH8RGJ8R4/s1600/Faraja.JPG
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka, akimfariji mtoto Salum Chinguile ambaye ni mmoja wa watoto wa Marehemu Koplo Yusufu Saidi, ambaye alikufa maji katika zoezi la kulinda amani mjini Darfur, nchini Sudan.
source3.bp.blogspots

Nimesikitishwa na kitendo cha benki ya CRDB kutoa rambi rambi kiduchu la laki tano kwa kila familia iliyopotelewa na askari huko Darfur.
mimi sielewi ujumbe wanaoutoa kwa wananchi, benki hii ambayo ni moja kati ya benki kubwa zaidi nchini.[/QUOTE][/QUOTE]
 
Back
Top Bottom