technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,553
- 57,843
Mnadanganya huduma zitapatikana mchana na usiku Mtafanya maboresho.
Lakini ukweli ni kwamba mmezengua pesa hazipatikani kwenye ATM huduma mchana hakuna.
Yaani kiufupi shughuli zote zimesimama kwa sababu ya uongo wenu.
Mlitakiwa kuwaambia watu ukweli waweke akiba ndani.
Mnapotoa tangazo na ualisia field uwe vile vile.
Nasikitika mtaani huduma zote za CRDB hazipatikani.
Lakini ukweli ni kwamba mmezengua pesa hazipatikani kwenye ATM huduma mchana hakuna.
Yaani kiufupi shughuli zote zimesimama kwa sababu ya uongo wenu.
Mlitakiwa kuwaambia watu ukweli waweke akiba ndani.
Mnapotoa tangazo na ualisia field uwe vile vile.
Nasikitika mtaani huduma zote za CRDB hazipatikani.