Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 475
Kuna Mtumishi wa umma aliomba mkopo bank ya CRDB amejikuta anaingia kwenye ATM, na kukuta amekatwa hela ya mkopo huku hela hiyo aliyoomba hajapewa, amewafuata CRDB wamemwambia watamuwekea tu, akawauliza ni lini wakamjibu mda wowote, sasa hiki kitendo ni wizi na uonevu mtu anaishije unamkata mkopo huku hujamuwekea kiasi alichoomba? Hebu CRDB tupeni ufafanuzi wa hili jambo.