CRDB internet banking

CRDB internet banking

Confirmation msg huwa haipiti kutwa bila kupata msg yake, kama unaweza rud tena uliza kama unaweza jaza form tena maana nahisi uenda hata ww ulikosea namba yako then ukawa unawalaumu wao

ngoja nijaribu tena nione
 
ila mm nilifungua mwezi wa 12 mwaka jana baada ya wiki walinitumia notification nazani pana uzembe kwa watu ila sio wote nashukuru
 
Jamani kwa mwenye uelewa please anisaidie, nimefungua akaunti crdb lengo kubwa nilikua nahitaji nipate visa card itakayoniwezesha kufanya malipo mbali mbali online, sasa wakati nafungua akaunti nikawaomba na huduma ya internet banking wakaniambia nitatumiwa confirmation text, pia nikajaza fomu nikaambiwa wataninotify, lakini naona wiki inaenda kukatika hamna kitu, je inachukua muda gani kupata iyo text kwa anaejua tafadhali anitoe wasi wasi manake nina shida ya haraka kweli na internet banking.

Upo mkoa gani!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom