vevenononombo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 1,289
- 421
CRDB bank, inabidi ijitazame upya namna inavyowahudumia wateja wake tofauti na hivyo tutawahama muda si mrefu, kwani kuna mambo mengi hayako sawa kwa sasa nitataja mambo makuu manne yatajayowakimbiza wateja kwenu.
1. Huduma kwa mteja(customer care ) mnatumia muda mrefu sana kumjibu mteja zaidi hata ya dk 15 wakati mteja anakatwa kwa hiyo gharama na mkampuni ya sim au ni deal na makampyni hayo kunyonya wateja.
2. Huduma ya Sim Banking sio imara kwani unaweza tumia lkn fedha usipate muda huu huo.
3. Kuna wafanyakaz wanapitishia mishahara yao ktk bank yenu tena wahasibu wanajitahid kupeleka yote yanayoitajika kwenu kabla ya tarehe 20 lakini mishahara inachelewa kwa zaidi ya siku saba.
4. Atm mashine zenu zimekuwa na tabia ya kuandika kuwa kadu hii haitumiki kwenye mashine hii sijui tatizo ni nini?.
N.B msipojirekebisha mishara yetu tutahamishia bank zingine na niko serious ktk hilo.
1. Huduma kwa mteja(customer care ) mnatumia muda mrefu sana kumjibu mteja zaidi hata ya dk 15 wakati mteja anakatwa kwa hiyo gharama na mkampuni ya sim au ni deal na makampyni hayo kunyonya wateja.
2. Huduma ya Sim Banking sio imara kwani unaweza tumia lkn fedha usipate muda huu huo.
3. Kuna wafanyakaz wanapitishia mishahara yao ktk bank yenu tena wahasibu wanajitahid kupeleka yote yanayoitajika kwenu kabla ya tarehe 20 lakini mishahara inachelewa kwa zaidi ya siku saba.
4. Atm mashine zenu zimekuwa na tabia ya kuandika kuwa kadu hii haitumiki kwenye mashine hii sijui tatizo ni nini?.
N.B msipojirekebisha mishara yetu tutahamishia bank zingine na niko serious ktk hilo.