mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 664
vevenononombo
Ongeza hili, bank statement ya page moja ni shilingi elfu kumi na moja. Wizi kabisa. Hivi mimi kutaka kujua ela zangu kama benki wameiba au la mnanikata hizo hela. Ndio maana nilitoa hela zangu zote
Ongeza hili, bank statement ya page moja ni shilingi elfu kumi na moja. Wizi kabisa. Hivi mimi kutaka kujua ela zangu kama benki wameiba au la mnanikata hizo hela. Ndio maana nilitoa hela zangu zote
Last edited by a moderator: