Crdb bank Mlimani City rushwa nje nje!

Hata mimi naona kuna upotoshwaji wa mambo hapa na wanajamii nao wanameza tu! siku hizi kuna competitions za kibenki kama ilivyo kwenye makampuni ya simu mnajuaje kama huyu mtoboasiri ni mdau kwenye benki nyingine na anaeneza sumu...? jamani kabla hatujaongea tuwe tunafanya uchunguzi wa kutosha na sio kuharibu makampuni ya watu for cheap popularity....With a light touch....

Hakyanani nam-sue mtu hapa leo! Revolution, hebu rudia tena?
On a serious note, kusema ukweli nina akaunti benki kadhaa (ikiwemo na CRDB) lakini ni ukweli pia kuwa huduma zao ni mbovu. Now take your pick between the following scenarios:
1. CRDB waendelee na uozo wao halafu eventually (because that's what will inevitably happen) wateja wawakimbie na benki (ambayo ni ya Kitanzania) ife ;

AU
2. Tuwaambie ukweli mchungu leo na wajirekebishe na kuboresha huduma (hivyo wa-retain na ku-attract wateja wapya) na waendelee kuwepo

Btw: Kwa wale msiojua ni kuwa Equity Bank inaanza operations hivi karibuni. Hii bank "imezinyorosha" benki zote Kenya na sasa wanakuja huku.Kina CRDB, NBC, NMB jiandaeni because you've been warned!
 
Mengi mengi yameongelewa hapa ya kujenga na ya kupotosha kuhusiana na na utoaji rushwa na upokeaji katika kupata huduma za kibenki pale tawi la CRDB Mlimani City. Ukweli ni huu kwamba mimi binafsi nimehakikisha jambo hili zaidi ya mara mbili na kutoa taarifa za mdomo kwa counter,mara ya kwanza ali ni ignore mara ya pili yule dada aliniambia ataustua uongozi urekebisha hali hiyo.Tatizo ni kwamba hiyo electronic gadget kwa ajili ya kutoa na kupanga haifanyi kazi mara nyingi na hata ikifanya basi kuna kila uwezekano wa kuvuruga taratibu zake.Utakuta wateja wamejikalia tuu kusubiria huduma huku wengine wakiingia na kupanga foleni na kupata huduma chap chap.Swala la rushwa Mlimani City Branch linajulikana kwa wateja wengi ambao hupata huduma za kibenki mahali pale.Jana baada ya post hii kusomwa askari wa pale mlangoni aliniambia mambo si shwari nipange foleni ya kawaida bila rushwa,Kwa hiyo JF imesomeka na wala si majungu kama wengine walivyodai ni habari ya kweli iliyofanyiwa utafiti wa kina na kuripotiwa.Shime watanzania tupige vita rushwa kwani ni adui namba moja wa maendeleo:A S 465: anayeturudisha nyuma.Ushindani wa mabenki hauzuii kuipiga tafu benki yetu isonge mbele.Nime experience tatizo la CRDB mbali na kutokuwa na customer care,Wamelewa wingi wa watejakiasi kwamba hawathamini kabisa.Na wasijue wingi huo wa wateja ndo unawapandisha chat na kuwaongezea tija. Siku nyingine nilienda tawi la Vijana pale Lumumba.Mhudumu anaongea na mteja rafiki yake dirishani kwa muda wa nusu saa huku wateja wengine wakipiga kelele mbona hawapatiwi huduma.Ilibidi nimwone Meneja akamweendea na kumwambia atoe huduma. Nawasilisha na kuwashukuru wote mliochangia na uongozi wa CRDB Mlimani City kwa kuchukua hatua.Mode funga mjadala!!
 
Hata mimi naona kuna upotoshwaji wa mambo hapa na wanajamii nao wanameza tu! siku hizi kuna competitions za kibenki kama ilivyo kwenye makampuni ya simu mnajuaje kama huyu mtoboasiri ni mdau kwenye benki nyingine na anaeneza sumu...? jamani kabla hatujaongea tuwe tunafanya uchunguzi wa kutosha na sio kuharibu makampuni ya watu for cheap popularity....With a light touch....

well said mkuuu,atakuwa competitor tu,system inafanya kazi vizuri kabisa,matatizo hayakosekani lakini si kiiivyoooo
 
Acha fitina na majungu, serious issues unazi-bypass unaleta majungu, zungumzia kwenye hospitali zetu wagonjwa wanavyokosa matibabu au watoto wetu na shule za chini ya miti aghhhhhhhhhhhhhhhhhhh kaa foleni au weka vijisenti vyako mchagoni

Mlalamikaji anasema yaliyomsibu. Huenda hapati adha kwenye mambo ya matibabu na mashule. Kama wewe yanakusibu nawe lalamika.
 
well said mkuuu,atakuwa competitor tu,system inafanya kazi vizuri kabisa,matatizo hayakosekani lakini si kiiivyoooo

Kwa ume-conclude kuwa mimi nina benki yangu? Anyway, watch this space especially baada ya DANIDA kujitoa utaona CRDB inakoelekea.
 
Nawasilisha hii ni kero iliyokomaa pale CRDB Mlimani City, Kumbe hata uwahi kiasi gani huwezi kupata namba za kwanza kwanza ili kukaa kwenye foleni ya kupata huduma ya kibenki.Kisa ni washikaji wale wawili askari na binti mmoja walioko pale mlangoni kwenye mizani ya kutolea namba!! Huwa wanatoa namba za mbali kama 60,70 nk na zile za karibu 1,2,3,nk wanakuwa nazo kuwauzia wateja wale wenye haraka zao na wasiotaka kupanga foleni li wapatei huduma za haraka. Mchezo huo mchafu hufanywa kwa tactics za hali ya juu hata wakati mwingine kuwahusisha wateja.Bei ya tikiti ya namba hufika hadi 5,000/=, mara nyingi book mbili, tatu na nne.Uongozi wa Benki wanajua maana husema "mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake"!!Ndg zangu wateja wengine kero hii mmeiona? Mwasemaje??
Mengi mengi yameongelewa hapa kuhusiana na thread hii ya kujenga na ya kupotosha kuhusiana na na utoaji rushwa na upokeaji katika kupata huduma za kibenki pale tawi la CRDB Mlimani City. Ukweli ni huu kwamba mimi binafsi nimehakikisha jambo hili zaidi ya mara mbili na kutoa taarifa za mdomo kwa counter,mara ya kwanza ali ni ignore mara ya pili yule dada aliniambia ataustua uongozi urekebisha hali hiyo.Tatizo ni kwamba hiyo electronic gadget kwa ajili ya kutoa na kupanga haifanyi kazi mara nyingi na hata ikifanya basi kuna kila uwezekano wa kuvuruga taratibu zake.Utakuta wateja wamejikalia tuu kusubiria huduma huku wengine wakiingia na kupanga foleni na kupata huduma chap chap.Swala la rushwa Mlimani City Branch linajulikana kwa wateja wengi ambao hupata huduma za kibenki mahali pale.Jana baada ya post hii kusomwa askari wa pale mlangoni aliniambia mambo si shwari nipange foleni ya kawaida bila rushwa,Kwa hiyo JF imesomeka na wala si majungu kama wengine walivyodai ni habari ya kweli iliyofanyiwa utafiti wa kina na kuripotiwa.Shime watanzania tupige vita rushwa kwani ni adui namba moja wa maendeleo
A%20S%20465.gif
anayeturudisha nyuma.Ushindani wa mabenki hauzuii kuipiga tafu benki yetu isonge mbele.Nime experience tatizo la CRDB mbali na kutokuwa na customer care,Wamelewa wingi wa watejakiasi kwamba hawathamini kabisa.Na wasijue wingi huo wa wateja ndo unawapandisha chat na kuwaongezea tija. Siku nyingine nilienda tawi la Vijana pale Lumumba.Mhudumu anaongea na mteja rafiki yake dirishani kwa muda wa nusu saa huku wateja wengine wakipiga kelele mbona hawapatiwi huduma.Ilibidi nimwone Meneja akamweendea na kumwambia atoe huduma. Nawasilisha na kuwashukuru wote mliochangia na uongozi wa CRDB Mlimani City kwa kuchukua hatua.Mode funga mjadala!!
majungu matupu
 
Back
Top Bottom