CRDB bank mbona mnatuibia sana wateja wenu?

CRDB bank mbona mnatuibia sana wateja wenu?

Karibu NMB benki ya Makabwela! Huku sisi hata buku 5 ikibakia, tunaweza kuihamishia kwenye simu halafu maisha yanaendelea kama kawaida.

Huko CRDB, huwa tunakuja kuvuta mikopo tu, tena ile ya wafanyakazi. Mikopo ya biashara, huwa tunarudi tena Nmb!!
Mm mwenyewe nilikuwa sijafuatilia hilo, ila kuna mdogo wangu nilimuuliza kuhusu hilo, akadai kuwa yeye siku nyingi analijua kuwa CRDB wana makato mengi na yasiyoeleweka, akasema kuwa yeye siku zote ndo maana huwa anatumia NMB.
 
Mmh umeniogopesha sana.
Itabidi nihamishie NMB visenti vyang
 
Bank Ni kwa wenye pesa nyingi

Wenye hela za ngama wekeni kwenye vibubu
 
Mwaka jana niliweka elfu 60 kwenye akaunti yangu kwa mara ya kwanza huwezi kuamini baada ya wiki kwenda kutoa ilitoka elfu 20 tu nyingine yote imeishia kwenye makato nilivunja kadi hapo hapo

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
CRDB kigoma imekuwa km kautaratibu hawaweki karatasi za receipt kwenye ATM.. na hii ni purposely..maana hata uende alfajiri, asubuhi, mchana, alasiri, adhuhuri jioni, usiku au usiku wa manane hakuna risiti...
 
CRDB kigoma imekuwa km kautaratibu hawaweki karatasi za receipt kwenye ATM.. na hii ni purposely..maana hata uende alfajiri, asubuhi, mchana, alasiri, adhuhuri jioni, usiku au usiku wa manane hakuna risiti...
Mbinu za kutojua wizi tunaofanyiwa.
 
Mimi nakumbuka mwaka nipo advance form 5 nilkweka akiba kama elfu 20 tukafunga mwezi wa 12 lakini mwezi wa kwanza baada ya kufungua shule nilitaka kwenda kuchukua elfu 10 nilichokuta ni namba kama frequency za redio kwenda ofisin kwao wanasema huwa wanakata ku update account tangu apo nikawakimbia

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
90.8 FM😀😀😀😀
Nilitaka kuifufua ac yangu ya CRDB ila nimeahirisha.
 
crdb ni desaster

evidence ukiweka 500,000
ukienda baada ya wiki kuitoa hiyo haitoki utatakiwa kutoa 490,000
kwa sasa natumia tu equity hata kama haina branch za kutosha sana
 
Back
Top Bottom