pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,098
- 12,472
Acha ujinga usifananishe tandale na kkoo kazikazi fiesta kama kawa tunapiga mtu chupa domo liongozekeHamna msanii aliyepata misukosuko kama diamond platnumz kapondwa sura yake mbaya, domo, anapenda kujipendekeza kwa wanaijeria, akatengenezewa chuki na kiba ili apate kuseleleka kupitia mondi na wapuuzi wachache wenye wivu wakamchukia mtoto wa watu mixer kumzomea fiesta, sasa nakaa najiuliza fiesta ya mwaka huu tuombe uzima kibao kinaweza kikageuka (japo sipendi,) kwani muosha huoshwa. Mwisho wa siku kama kiba akikosa tuzo wakulaumiwa ni yy kwa chuki aliyoitengeneza ili apate kurudi (angalia sporah shows na mkasi TV uone alivyohojiwa) na wapili nyinyi mashabiki zake kwa kampeni zenu mlizozianzisha mixer hashtag juu lkn mungu bado alimpigania. Ila bado natamani mtu mmoja atokee azifute hizi tofauti kwani zinapoelekea kubaya nadhan mnaona jinsi diamond platnumz na mashabiki wake wanavyo react na wameanza na hii MTV EMA sijajua fiesta watafanyaje.