Crane: Ndege anayesimama kama nembo ya taifa la Uganda

Jun 5, 2017
95
123
0c8ab86ceee738960a7d5a89d3c01939.jpg

Ukifanikiwa kutembelea nchi ya Uganda utakutana na simulizi nyingi za kupendeza kumhusu ndege mtanashati na mwenye mvuto sana.. Ndege huyu anaitwa Crane.

Kwa taifa la uganda anapewa nafasi kubwa kama kivutio cha utalii na pia anasimama kama nembo ya taifa la uganda

Crane amepewa hadhi kubwa katika taifa hilo hadi kufikia hatua ya timu yai ya taifa kupewa jina la the cranes na pia hata ukitazama national flag yao ngege huyo huonekana pia..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, ndege aina crane (sijui kiswahili chake) historia yake inaanzia zama za ukoloni takribani miaka 100 iliyopita. Kuanzia mwaka 1893 nembo ya ndege (crane) ilianza kutumika kama symbol or alama ya serikali ya kikoloni chini ya utawala wa mfalme George v...! kwa ufupi ilikuwa hivi, kuna jamaa aliitwa Sir Frederick Jackson ambaye alikuwa mchungaji na mtawala kipindi hicho. makazi yake yalikuwa ni entebbe kwenye nyumba ya serikali (serikali ya kikoloni). mara kwa mara alizungukwa na ndege hao na alikuwa akiwalisha kwa mikono yake mwenyewe. alipendekeza ndege aina ya crane itumike kama alama ya taifa hilo(emblem) huku akishawishiwa na rafiki yake mwingine aliyeitwa Sir Harry Johnstone ambaye aliwapenda sana ndege hawo kwa sababu ya unadhiifu na umaridadi wao. Ndo baadae ukaja ujumbe kutoka kwa katibu mkuu wa ufalme wa Uingereza akiwaelekeza ma-governor kuanza kutumia badge ya crane kwenye bendera na vyombo vyote vya usalama ikiwemo boat na meli za serikali. Hata nchi ilipopata uhuru, walirithi hiyo symbol...

Prof
 
Mkuu, ndege aina crane (sijui kiswahili chake) historia yake inaanzia zama za ukoloni takribani miaka 100 iliyopita. Kuanzia mwaka 1893 nembo ya ndege (crane) ilianza kutumika kama symbol or alama ya serikali ya kikoloni chini ya utawala wa mfalme George v...! kwa ufupi ilikuwa hivi, kuna jamaa aliitwa Sir Frederick Jackson ambaye alikuwa mchungaji na mtawala kipindi hicho. makazi yake yalikuwa ni entebbe kwenye nyumba ya serikali (serikali ya kikoloni). mara kwa mara alizungukwa na ndege hao na alikuwa akiwalisha kwa mikono yake mwenyewe. alipendekeza ndege aina ya crane itumike kama alama ya taifa hilo(emblem) huku akishawishiwa na rafiki yake mwingine aliyeitwa Sir Harry Johnstone ambaye aliwapenda sana ndege hawo kwa sababu ya unadhiifu na umaridadi wao. Ndo baadae ukaja ujumbe kutoka kwa katibu mkuu wa ufalme wa Uingereza akiwaelekeza ma-governor kuanza kutumia badge ya crane kwenye bendera na vyombo vyote vya usalama ikiwemo boat na meli za serikali. Hata nchi ilipopata uhuru, walirithi hiyo symbol...

Prof
Wewe ni prof kutoka nchi gani mkuu?maana Siku hizi sina imani kabisa na maprof wetu
 
Mnachotufanya maprof wa Bongo Mungu anawaona...
mkuu, don't forget kuna binadamu wa makundi kama mawili hivi: kuna wale wenye kuona wenzao wakididimia na kufurahi na wengine watakuwa tayari kusaidia hata kama itawagharimu muda na fedha. Ni kawaida sana mkuu. Pia kusoma or kuwa prof siyo mwisho wa ujinga...No! watu hatufanani na busara zetu pia zinatofautiana sana. ukiamua ku-view hawo watu in positive way, wala haitokusumbua....
 
Back
Top Bottom