Asnte kwa kumuelewesha maana alipo lala leo sijui tu lucky partcher hahahahhahahahaUcrack Google Play kwani inauzwa?
App ipo na ni free. Wewe kama unataka kupata apps nyingine kwa free basi crack hizo apps, kucrack play store haimaanishi utapata apps nyingine zote kwa free.
Alafu kua makini, cracking sio kitu kizuri mara nyingin unajikuta unadownload virus.
NimeipendaSisi wengine ni washamba wa Teknolojia... Na ndio maana tunapokuwa na vijimaswali vya kuhusu teknolojia tunaleta huku kwenu ninyi wataalamu.....
kuna baadhi ya apps hasa games zinafanya verification google kama zimelipiwa ama la,Na akili yangu huwa inawaza pengine unapoicrack Google play store... Basi zile paid app unapakua tu huna haja ya kuanza process za kulipia.... Dah kumbe sio nilikuwa nawaza vibaya
Acha ni hatari utaharibu simu nilishawahi, Play Store itakufa mazima hadi UresetHabari ya maisha wanajamii...
Nataka kuicrack app ya Google play store kwa kutumia lucky patcher, lakini naomba kuuliza je kunaweza kuleta matatizo kwenye simu, na kuna ambaye alishawahi fanya hii kitu
vipi kuhusu zile movies ZAkununua playstore je itakubaliKama unataka paid apps for free download appvn kwa kutumia browser ya kawaida then ingia playstore chagua paid app then scroll down kwenye icon ya kushare then share na appvn then itajidownload