muuza ugoro
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 334
- 59
waafrika wenzangu habari. nina mdogo wangu ana dploma in Accountancy ya TIA, sasa vp anaanzia module gani cpa na cost zake, ratiba ya vpindi, centre nzuri, ada, registration lini?
Nb. kwa sasa yupo Dar!
pls advice.
Nb. kwa sasa yupo Dar!
pls advice.