Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,738
- 11,644
Amefariki?RIP Rc Maganga
Amefariki?RIP Rc Maganga
No hug sawa,lkn no sex haiwezekani.Dawa ya corona ni self isolation no hug no sex
Kigoma isolation ni simple,unachimbia kwenye mapori kule unalima mahindi,maharage,mihogo,mtama,n k.Nilikimbizia familia huko sasa naona imebisha hodi na huko!Mmmh Mungu tunusuru!
AmenMungu ilinde familia yangu huko iliko
They are only thing that matters to me..
Una uhakika Corona ndo imemuondoa???.Mkuu Siyo mmoja, Siku nne zilizopita Meneja Bank flani KIbondo......RIP amepasss away
Tunaomini Corona ipo tunafanya kosa gani? Mbona hamuwazuii wanaoamini Mungu yupo?Una uhakika Corona ndo imemuondoa???.
Hapana yupo chattleAmefariki?
Did you just say sexDawa ya corona ni self isolation no hug no sex


Unajuwa hii habari ya lini au unekurupuka tu Bila nguoUna uhakika Corona ndo imemuondoa???.
Koona Ni hatari..... chukua tahadhariIv wanaficha ili iweje? Naona hata Jf wanawasaidia kuficha
Mimi nina corona na leo ni sku ya nne niko kitandani napambana nayo
Nimeweka uzi ili watu wajifunze wachukue tahadhali naona mods wameufuta
Totally upuuzi
Unauhakika kuwa ni free entry⁉️kutofungwa kwa mpaka kati yetu na Burundi pamoja na DRC kumesababisha COVID-19 kufika Kigoma!!