COVID-19 yatua Kigoma

COVID-19 yatua Kigoma

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,174
Reaction score
48,459
Kwa mujibu wa Mkuu wa mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali (Mstaafu) Emmanuel Maganga tayari mkoa huo umeshapata mgonjwa wa kwanza wa COVID-19 na wengine zaidi ya wanne sampuli zao zimepelekwa Dar es salaam kwa uchunguzi zaidi




Chanzo: Ayo TV
 
DRC kuna COVID-19 ya kutosha na wako bize kweli kweli kupiga nyungu. Jee kutofungwa kwa mpaka kati yetu na Burundi pamoja na DRC kumesababisha COVID-19 kufika Kigoma!!
 
Kwa mujibu wa Mkuu wa mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali (Mstaafu) Emmanuel Maganga tayari mkoa huo umeshapata mgonjwa wa kwanza wa COVID-19 na wengine zaidi ya wanne sampuli zao zimepelekwa Dar es salaam kwa uchunguzi zaidi



Chanzo Ayo Tv.

Mkuu Siyo mmoja, Siku nne zilizopita Meneja Bank flani KIbondo......RIP amepasss away
 
Nilikimbizia familia huko sasa naona imebisha hodi na huko!Mmmh Mungu tunusuru!
Na hapo ni jirani na Burundi ambako huko wanaendelea kufanya mikutano ya Kampeni za uraisi,kikinuka tu fasta jamaa wameshajaa Kigoma hapo.
 
Kwa mujibu wa Mkuu wa mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali (Mstaafu) Emmanuel Maganga tayari mkoa huo umeshapata mgonjwa wa kwanza wa COVID-19 na wengine zaidi ya wanne sampuli zao zimepelekwa Dar es salaam kwa uchunguzi zaidi



Chanzo Ayo Tv.

Hizi takwimu si zilitolewa juzi? Naamini pia wameongezeka
 
Back
Top Bottom