Swali zuriMbona hawa akina coona wana rangi ya kijani
Daaah ee bana eee uko sahihi sanaSwali zuri
Wabongo tuna Corona ya mda mrefu kumbe tunaichagua kila uchaguzi
Mungu ibariki chadema
hii team nina mashaka nayo maana kila mmoja jicho nyanya inaonekana wanapiga mmea kwanza ndo wanaanza michakato ya kula vichwa, kwa walivyo na bidii iko siku watamkuta tu mzee meko bila yeye kujua
Naisubiri hiyo siku Mungu atuwezeshehii team nina mashaka nayo maana kila mmoja jicho nyanya inaonekana wanapiga mmea kwanza ndo wanaanza michakato ya kula vichwa, kwa walivyo na bidii iko siku watamkuta tu mzee meko bila yeye kujua
Mbona hawa akina coona wana rangi ya kijani