Gabeji
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 2,106
- 3,027
Watanzania wote hatutawasikiliza mkipigwa chini huko ccm kwenye kura za maoni. Mmekataa masilai ya taifa , mmetanguliza matumbo yenu,
Ivi mhajifunzi kwa yule makamu wa zanzibar mwaka 2014 akisimama upande wa haki, mfumo wakamtimbua kama mwasheria wa serikali, karma ikamkumbuka leo hii ni makamu wa rais zanzibar.
Wanasiasa acheni tamaaa, na ubinafsi, simamieni haki.
Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist wenu Gabeji
Ivi mhajifunzi kwa yule makamu wa zanzibar mwaka 2014 akisimama upande wa haki, mfumo wakamtimbua kama mwasheria wa serikali, karma ikamkumbuka leo hii ni makamu wa rais zanzibar.
Wanasiasa acheni tamaaa, na ubinafsi, simamieni haki.
Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist wenu Gabeji