Thibitisha kuwa alichanjwaWizara ituambie imekuaje Hans amefariki kwa covid wakati alikua amechanjwa?
Maana wanatuambia chanjo inazuia vifo, maumivu, kulazwa hospitali ama kuwekewa mashine ya kupumua, sasa ilikuaje Hans akawekwwa mashine na akafariki huku amechanjwa?
Ugonjwa wa covid 19 au uviko unaenea kwa kasi nchini.wizara ya afya utadhani haipo.hakuna jitihada zozote zinazofanywa na wizara hii kuhamasisha wananchi kujikinga na huu ugonjwa wa corona covid-19.
Tayari leo Simba Sports club ishapoteza mmoja wa viongozi mashuhuri ambaye siku chache alihojiwa na kusema wazi anaugua covid 19. Sasa mtu kama huyu maarufu keshachanyikana na watu wangapi? Kaambukiza wangapi? Jamani tunalichukulia kimzaha suala la huu ugonjwa wa covid 19, itafika siku tutakuwa hatuna budi kukaa nyumbani maana hata makazini hakutakalika.
Kuna tabu au tatizo lipi kwa wizara bila kujali lawama,shutuma n.k kupiga marufuku mikusanyiko yote iwe ya mipira hasa simba na yanga, mikutano ya kiinjili, mihadhara ya kiislamu, matangazo ya kibiashara, upigaji muziki unaokusanya watu, mikutano ya hadhara ya vyama n.kNYIE WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII INABIDI MCHUKUE UAMUZI MGUMU.
Kanisani kwa Gwajima., Umeridhika sasa?Aliipata wapi hiyo chanjo ?
Mara ngapi?MPaka impasue mtu kule juu
Wakuambie kama Nani? Unaweka demands na kuuliza maswali ya kijinga halafu bado wakikujibu hutochanja vile vile. Mbona ni rahisi tu kutochanja na kuendelea na maisha kimya kimya kama mamilioni ya wenzako wanavyofanya?Wizara ituambie imekuaje Hans amefariki kwa covid wakati alikua amechanjwa?
Maana wanatuambia chanjo inazuia vifo, maumivu, kulazwa hospitali ama kuwekewa mashine ya kupumua, sasa ilikuaje Hans akawekwwa mashine na akafariki huku amechanjwa?
Israeli ni nchi iliyochanja kuliko nchi yoyote duniani. Sasa hivi ndiyo inayoteseka kuliko ncho yoyote KWA UVIKO-19. Hivyo ndivyo mtu anayeenda harakaharaka atakavyosema. Lakini suali la msingi ni kuwa wanateseka kwa uviko 19 au wanateseka na chanjo? Sasa hivi wanaongelea kuchoma booster ya nne. ------------ hadi siku dunia itakapoamka ndipo itapona. Vinginevyo inajiingiza yenyewe kwenye mtego wa eugenists kisha inalaumu uviko-19. Je, huyo aliyekufa si alichanjwa? --- READ BETWEEN THE LINES.Ugonjwa wa covid 19 au uviko unaenea kwa kasi nchini.wizara ya afya utadhani haipo.hakuna jitihada zozote zinazofanywa na wizara hii kuhamasisha wananchi kujikinga na huu ugonjwa wa corona covid-19.
Tayari leo Simba Sports club ishapoteza mmoja wa viongozi mashuhuri ambaye siku chache alihojiwa na kusema wazi anaugua covid 19. Sasa mtu kama huyu maarufu keshachanyikana na watu wangapi? Kaambukiza wangapi? Jamani tunalichukulia kimzaha suala la huu ugonjwa wa covid 19, itafika siku tutakuwa hatuna budi kukaa nyumbani maana hata makazini hakutakalika.
Kuna tabu au tatizo lipi kwa wizara bila kujali lawama,shutuma n.k kupiga marufuku mikusanyiko yote iwe ya mipira hasa simba na yanga, mikutano ya kiinjili, mihadhara ya kiislamu, matangazo ya kibiashara, upigaji muziki unaokusanya watu, mikutano ya hadhara ya vyama n.kNYIE WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII INABIDI MCHUKUE UAMUZI MGUMU.
Kama hamna uhakika wa jambo msiwe mnakurupuka kuandika kwenye mitandao. PumbavuKanisani kwa Gwajima., Umeridhika sasa?
Leta fact mkuu,achana na issue za "Inasemekana"Inasemekana huyo Zakaria alikuwa amechanja tayari
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
We jamaa umehamia bandiko hili?,kuna bandiko wadau wamekuambia hakuchanja bado tu unaendelea na ligi yako...Wizara ituambie imekuaje Hans amefariki kwa covid wakati alikua amechanjwa?
Maana wanatuambia chanjo inazuia vifo, maumivu, kulazwa hospitali ama kuwekewa mashine ya kupumua, sasa ilikuaje Hans akawekwwa mashine na akafariki huku amechanjwa?
Bahati mbaya nchi haina rais, tuna muimba taarab tuUgonjwa wa covid 19 au uviko unaenea kwa kasi nchini.wizara ya afya utadhani haipo.hakuna jitihada zozote zinazofanywa na wizara hii kuhamasisha wananchi kujikinga na huu ugonjwa wa corona covid-19.
Tayari leo Simba Sports club ishapoteza mmoja wa viongozi mashuhuri ambaye siku chache alihojiwa na kusema wazi anaugua covid 19. Sasa mtu kama huyu maarufu keshachanyikana na watu wangapi? Kaambukiza wangapi? Jamani tunalichukulia kimzaha suala la huu ugonjwa wa covid 19, itafika siku tutakuwa hatuna budi kukaa nyumbani maana hata makazini hakutakalika.
Kuna tabu au tatizo lipi kwa wizara bila kujali lawama,shutuma n.k kupiga marufuku mikusanyiko yote iwe ya mipira hasa simba na yanga, mikutano ya kiinjili, mihadhara ya kiislamu, matangazo ya kibiashara, upigaji muziki unaokusanya watu, mikutano ya hadhara ya vyama n.kNYIE WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII INABIDI MCHUKUE UAMUZI MGUMU.
Huyo Waziri aliyepo ni kimeo, hiyo nafasi inataka mtu creative na mwenye commitment, mbona Ummy alifanikiwa vipi huyu?Ugonjwa wa covid 19 au uviko unaenea kwa kasi nchini.wizara ya afya utadhani haipo.hakuna jitihada zozote zinazofanywa na wizara hii kuhamasisha wananchi kujikinga na huu ugonjwa wa corona covid-19.
Tayari leo Simba Sports club ishapoteza mmoja wa viongozi mashuhuri ambaye siku chache alihojiwa na kusema wazi anaugua covid 19. Sasa mtu kama huyu maarufu keshachanyikana na watu wangapi? Kaambukiza wangapi? Jamani tunalichukulia kimzaha suala la huu ugonjwa wa covid 19, itafika siku tutakuwa hatuna budi kukaa nyumbani maana hata makazini hakutakalika.
Kuna tabu au tatizo lipi kwa wizara bila kujali lawama,shutuma n.k kupiga marufuku mikusanyiko yote iwe ya mipira hasa simba na yanga, mikutano ya kiinjili, mihadhara ya kiislamu, matangazo ya kibiashara, upigaji muziki unaokusanya watu, mikutano ya hadhara ya vyama n.kNYIE WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII INABIDI MCHUKUE UAMUZI MGUMU.
Mbaya zaidi anaimba na kujisikiliza mwenyeweBahati mbaya nchi haina rais, tuna muimba taarab tu
Wakati huo huko Nigeria, wagonjwa wa mild-moderate uviko-19 walotibiwa na Ivermectin , imegundulika asilimia 85 yao, wamepoteza uwezo wa kuzalishaWatu hawataki chanjo,sasa serikali ifanye nini?...Acha watu wafe kwa upumbuvu wao.
Na kweli kabisa. Watu wanaokataa kuchanja kwa kumsikiliza Gwajima, wana tofauti gani na wafuasi wa Kibwetere waliochomwa moto?Kama chanjo ipo na hamtaki kuchanja,Serikali ikuchanje kwa nguvu?
Barakoa pia hamtaki kuvaa,kila mtu ni mjuaji wa masuala yote,ili mradi awe na Smart phone na bando tu,
Ujinga umetamalaki kwa kujiaminisha kua huo ndio ujuaji! Endeleeni kumsikiliza Kibwetere tu.
Chanja wewe usimalizike!! Tena chanja kwa wembe !!Ugonjwa wa covid 19 au uviko unaenea kwa kasi nchini.wizara ya afya utadhani haipo.hakuna jitihada zozote zinazofanywa na wizara hii kuhamasisha wananchi kujikinga na huu ugonjwa wa corona covid-19.
Tayari leo Simba Sports club ishapoteza mmoja wa viongozi mashuhuri ambaye siku chache alihojiwa na kusema wazi anaugua covid 19. Sasa mtu kama huyu maarufu keshachanyikana na watu wangapi? Kaambukiza wangapi? Jamani tunalichukulia kimzaha suala la huu ugonjwa wa covid 19, itafika siku tutakuwa hatuna budi kukaa nyumbani maana hata makazini hakutakalika.
Kuna tabu au tatizo lipi kwa wizara bila kujali lawama,shutuma n.k kupiga marufuku mikusanyiko yote iwe ya mipira hasa simba na yanga, mikutano ya kiinjili, mihadhara ya kiislamu, matangazo ya kibiashara, upigaji muziki unaokusanya watu, mikutano ya hadhara ya vyama n.kNYIE WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII INABIDI MCHUKUE UAMUZI MGUMU.