kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
wewe jana si ulisema corona is overratedNgoja ianze kuwapukutisha..
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe jana si ulisema corona is overratedNgoja ianze kuwapukutisha..
Nilikuwa na safari ya Montreal kupitia bara la Uropa....next week..imeota mbawa.. till further notice..
Labda uanze wewe binafsi kubadilisha ratiba zako.Huku tunaishi kama juzi tu hakuna kilichobadilika.
Alivyoandika ndio alinichanganyaEurope
Basi hali itaendelea kuwa hiiHuu ugonjwa unapaishwa sana na vyombo vya habari kuliko uhalisia wake. Overrated.
Huku tunaishi kama juzi tu hakuna kilichobadilika.
Huyo jamaa sijui amekaa uarabuni maana waarabu ndio wanatamka hivyo(Uropa)Alivyoandika ndio alinichanganya
Haya ni 'mafua makali' kwa waafrika huwezi kufa, wazungu wao mafua yanawasumbua toka kitambo tu. Hadi sasa hakuna mwafrika aliyekufa kwa Corona. Msipanic sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Vinaua hasa uwe na nyagi bapa...usimix, piga dry!Nasikia vikali vinaua Corona 😄
mkuu mambo gani ya kutamanishana na mi sijamaliza kazi....DahVinaua hasa uwe na nyagi bapa...usimix, piga dry!
1.Nanawa mikono sana hadi mikono yangu muda mrefu inakua imepauka sana. Kwa siku nanawa mikono zaidi ya mara 25. Kwa bahati mbaya sana, kazi yangu ina involve sana kushika shika surfaces mbalimbali na kutumia mikono yangu sana.Kirusi kipya cha Corona ndo habari ya dunia sasa hivi.
Dunia nzima sasa inakabiliana na tishio la maambukizi yake.
Kutokana na tishio hilo, watu imetubidi tubadili namna tuishivyo.
Yale mambo yaliyokuwa ya kawaida sasa si ya kawaida tena. Na yale ambayo ni mapya, kwa sasa ndo tunajifunza kuyazoea.
Mimi imenibidi nifanye mabadiliko kiasi. Baadhi ya mabadiliko ni ya kulazimishwa. Baadhi ni ya hiari.
1. Nimeacha kula kwenye migahawa ya Wachina. Sababu ni vile huu ugonjwa unasemekana umeanzia huko China kwenye soko la wanyama wa kila aina.
Kwenye hili hata hivyo naona nimechelewa sana. Kwa miaka mingi sasa nimekuwa nikisikia stori kwamba Wachina huwa wanawalisha watu nyama za paka, mbwa, n.k.
Muda wote huu nimekuwa nikizipuuzia hizo stori. Ilikuwa nikienda kwenye ‘Chinese buffet’ nashindilia ile mi-satay chicken, sijui General Tso’s chicken, Mongolian beef na mazagazaga mengine. Nikitoka hapo kitumbo ndiiii, nimeshiba.
Kusema ukweli ni wao tu ndo wajua kama kweli walikuwa wanatulisha kile ambacho walikuwa wanadai ndicho.
Kuna nyakati hiyo mi-satay chicken inakuwa ina ladha ya ajabu ajabu ambayo hata haifanani na ladha ya kuku lakini mtu unajipa tu moyo na kujiambia ‘itakuwa ni vile viungo wanavyoweka ndivyo vyenye kubadili ladha’. Yawezekana nishakula hadi Popo bila hata kujua.
Ila kuanzia sasa hapana. Sitaki tena mi vyakula ya Kichina.
2. Kwa vile mikusanyiko ya watu inaendelea kupigwa marufuku, gym za kufanyia mazoezi nazo zimeanza kufungwa. Leo nimepata barua pepe yenye kunifahamisha kuwa gym niendayo kufanya mazoezi, kuanzia leo itafungwa hadi mnamo mwisho wa mwezi huu.
Wengine kwetu kwenda gym ni sawa na kwenda msikitini kila Ijumaa au kanisani kila Jumapili.
Sina jinsi. Ni kukubaliana tu na matokeo na kutafuta njia nyingine ya kupiga tizi.
View attachment 1390573
3. Shule nazo zimefungwa. Maofisi nayo pia. Watoto wanasoma kwa kutumia mtandao. Wazazi [wenye kuweza] wanafanyia kazi toka nyumbani.
4. Wiki ijayo nilikuwa na safari. Kwa sasa nadhani itabidi niiahirishe tu
5. Tulio wapenzi wa michezo kwa sasa hatujui hata tufanye nini maana michezo mingi imesimamishwa sasa hivi.
6. Kushinda ndani siku nzima tena kwa muda usiojilikana ni mateso. Huu sasa ndo muda wa kuangalia kilichomo kwenye DVR. DVR yangu imejaa kwa asilimia 99. Sitokosa vya kuangalia.
7. Nikichoka kuangalia TV, natafuta cha kugongea ili mradi siku iende. Old Town Liquor store baby.
View attachment 1390574
Siwezi kushinda nakunywa maji na juisi tu kwa siku nzima.
Ni muhimu kusahau kidogo madhila ya ulimwengu.
Je, wewe mdau maisha yako yamebadilikaje katika hiki kipindi cha Corona?
Huku tunaishi kama juzi tu hakuna kilichobadilika.
Ooh! Maybe..nilikuwa sifahamu hataHuyo jamaa sijui amekaa uarabuni maana waarabu ndio wanatamka hivyo(Uropa)
Hahaa sorry mkuu...ungekuwa karibu tungeshare BAPA la nyagi aka MUWA hapa kujilinda na Coronaa!
Chanzo cha Tatiz
View attachment 1390575