Covid-19 ikiisha dunia itaanza moja

Covid-19 ikiisha dunia itaanza moja

Liwagu

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2017
Posts
5,790
Reaction score
6,995
Kwa haraka haraka tumejifunza mengi na tunaendelea kujifunza.

Siasa za nje
Nchi zitabadili sera zao za mambo ya nje. Ubabe ubabe wa kijinga utapoa. Tumeshajifunza kwamba kuna majanga fulani yakitokea kunakuwa hakuna mmbabe. Wote tutahitaji msaada kwa wengine.

Kwenye siasa za ndani
Nchi hasa za Africa zitaona umuhimu wa kuimarisha miundombinu ya afya na facilitations zake ikiwemo kutunisha mfuko wa dharula mbaka uwe kama gunia la viazi, Ili janga likitokea tuweze kuhangaika nalo wenyewe, maana kuna wakati flani ukifika kila mtu anapambana na haliyake hakuna kutembezeana bakuli.

Kiuchumi
Nchi nyingi zitaboresha mfumo wa watu kufanya kazi wakiwa majumbani,iliutumike vizuri katika kipindi amabacho kutakuwa na majanga ambayo yatasababisa watu wasiende katika maeneoyao ya kazi.

Kijamii
Watu watajifunza kupeana nafasi. Wataacha kuzurula hovyo, kukusanyika, kushikana shikana hovyo kwa mfano kukumbatiana, kupigaba mabusu kama Tom and Jerry, kupeana mikono na mengine mengi yanayofanana na hayo.

Mambo ni mengi, ongezea mengine tunayofanya kwa mazoea ili tuyaache kabla bado.

Kama hatutabadili mfumo wa maisha kwa kujifunza kupitia hii Covid-19 basi binadamu tutakuwa useless.

Nawaza tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
..Wabongo tutakuwa na ustaarabu wa kuosha mikono mara kwa mara
..Mbagala - Kariakoo na sehemu nyingine zote daladala level seat....
 
Ngoja tuone... Na inawezekana tukaanza kuvaa ma-plastiki na kushinda nayo...



Cc: mahondaw
 
Mm naona kwenye daladala level seats iendelee hata baada ya coronna , kwanza itakaa poa sana huu utaratibu tukiuzoea, pili hata wamiliki wa mabasi watapata faida maana gari hazitachoka haraka kama kujaza rumbesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm naona kwenye daladala level seats iendelee hata baada ya coronna , kwanza itakaa poa sana huu utaratibu tukiuzoea, pili hata wamiliki wa mabasi watapata faida maana gari hazitachoka haraka kama kujaza rumbesa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli lakini esabu inapungua. Sasaivi ni zamu ya makonda na madereva kupata ela maana wanalalamika kazingimu kilasiku wamepata sababu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa haraka haraka tumejifunza mengi na tunaendelea kujifunza.

Siasa za nje
Nchi zitabadili sera zao za mambo ya nje. Ubabe ubabe wa kijinga utapoa. Tumeshajifunza kwamba kuna majanga fulani yakitokea kunakuwa hakuna mmbabe. Wote tutahitaji msaada kwa wengine.

Kwenye siasa za ndani
Nchi hasa za Africa zitaona umuhimu wa kuimarisha miundombinu ya afya na facilitations zake ikiwemo kutunisha mfuko wa dharula mbaka uwe kama gunia la viazi, Ili janga likitokea tuweze kuhangaika nalo wenyewe, maana kuna wakati flani ukifika kila mtu anapambana na haliyake hakuna kutembezeana bakuli.

Kiuchumi
Nchi nyingi zitaboresha mfumo wa watu kufanya kazi wakiwa majumbani,iliutumike vizuri katika kipindi amabacho kutakuwa na majanga ambayo yatasababisa watu wasiende katika maeneoyao ya kazi.

Kijamii
Watu watajifunza kupeana nafasi. Wataacha kuzurula hovyo, kukusanyika, kushikana shikana hovyo kwa mfano kukumbatiana, kupigaba mabusu kama Tom and Jerry, kupeana mikono na mengine mengi yanayofanana na hayo.

Mambo ni mengi, ongezea mengine tunayofanya kwa mazoea ili tuyaache kabla bado.

Kama hatutabadili mfumo wa maisha kwa kujifunza kupitia hii Covid-19 basi binadamu tutakuwa useless.

Nawaza tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa.
Nakuunga mkono kwa asilimia zote.
 
..Wabongo tutakuwa na ustaarabu wa kuosha mikono mara kwa mara
..Mbagala - Kariakoo na sehemu nyingine zote daladala level seat....
Hasa kupeana mikono, ukimsalimia mtu tu anakunyooshea limkono ikizuga kama hujaona anaazakusema unadharau.

Angalau sasaivi wengi wameshajua madhara ya kushikanashikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa haraka haraka tumejifunza mengi na tunaendelea kujifunza.

Siasa za nje
Nchi zitabadili sera zao za mambo ya nje. Ubabe ubabe wa kijinga utapoa. Tumeshajifunza kwamba kuna majanga fulani yakitokea kunakuwa hakuna mmbabe. Wote tutahitaji msaada kwa wengine.

Kwenye siasa za ndani
Nchi hasa za Africa zitaona umuhimu wa kuimarisha miundombinu ya afya na facilitations zake ikiwemo kutunisha mfuko wa dharula mbaka uwe kama gunia la viazi, Ili janga likitokea tuweze kuhangaika nalo wenyewe, maana kuna wakati flani ukifika kila mtu anapambana na haliyake hakuna kutembezeana bakuli.

Kiuchumi
Nchi nyingi zitaboresha mfumo wa watu kufanya kazi wakiwa majumbani,iliutumike vizuri katika kipindi amabacho kutakuwa na majanga ambayo yatasababisa watu wasiende katika maeneoyao ya kazi.

Kijamii
Watu watajifunza kupeana nafasi. Wataacha kuzurula hovyo, kukusanyika, kushikana shikana hovyo kwa mfano kukumbatiana, kupigaba mabusu kama Tom and Jerry, kupeana mikono na mengine mengi yanayofanana na hayo.

Mambo ni mengi, ongezea mengine tunayofanya kwa mazoea ili tuyaache kabla bado.

Kama hatutabadili mfumo wa maisha kwa kujifunza kupitia hii Covid-19 basi binadamu tutakuwa useless.

Nawaza tu.


Sent using Jamii Forums mobile app

Nikweli kabisa. Na tutakuwa tumejifunza na pengine kujijengea tabia nzuri ya kunawa mikono mara kwa mara. Huenda magonjwa ya tumbo/kuhara nayo yakapungua kwa kiasi kikubwa.
 
Serikali nyingi duniani zilizowekeza nguvu kubwa kwenye vifaa vya kivita na majeshi zitapata akili kuwa dunia ya sasa inaweza ikashambuliwa kwa namna nyingine tofauti na vita vya silaha ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima watu waanze kufikiri upya ya kale mengi yatapita
Kabisa, ballistic missile zitawekwa museum.
Watu wataumizana kimyakimya sisi wengine huku dunia ya 3 nadhani tuta pukutishwa tu kama nzige.

Anyway, tutatumia mamitishamba yetu kujiponya, wanasemaga Mungu akikupa kilema anakupa na mwendo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom