- Thread starter
- #21
Typing error doesn’t mean that I don’t know how to write
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwanini hutaki Law na Education?
Couse au Course ?
Mtunza kumbukumbu,,afisa masoko,,afisa maendeleo ya jamii,,pia natamani kusomea tourism menegment ushauli wako mkuu
Wana jf naomba ushauli mimi ninasoma HKL advance na nipo form six natesemea kuhitim hivi punde ni course gan nikasome chuo ambayo kidogo inamanufaa??kwa HKL??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ili nawwe usije pata huzuni katka maisha yako na kazi zisizojulikana kama sisi ni vyema uanze ujasiriamali
Sent using Jamii Forums mobile app
Fuata chenye nguvu zaidi moyoni. Mbona kama hujiamini amini hivii, [emoji16][emoji16] Zungumza na moyo wako. Najua unaangalia hela, mind you, hela utatengeneza mwenyewe hata usomee kitu gani, ni akili ya maisha tuu.Mtunza kumbukumbu,,afisa masoko,,afisa maendeleo ya jamii,,pia natamani kusomea tourism menegment ushauli wako mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Fuata chenye nguvu zaidi moyoni. Mbona kama hujiamini amini hivii, [emoji16][emoji16] Zungumza na moyo wako. Najua unaangalia hela, mind you, hela utatengeneza mwenyewe hata usomee kitu gani, ni akili ya maisha tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maliza six alafu matokeo yako yatunze vzr utakuja kusoma chuo baadae, ingia kwenye ujasiriamali usiende kupoteza mda wko chuo, atlest ungekuwa sayansi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya nenda kapanue akili, ukapanue na chini pia. [emoji124]Ujasiliamali bila kupanuka kiakili ni sawa na bure
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unatupima? [emoji848]Sio kwamba sijiamini ninachotaka humu ni ushauli tu haimaanishi sijajua cha kufanya [emoji16]kumbuka leo ni sikukuu ya wajinga so nataka nijue kitu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nadhan mkuu utasoma nn itakuja mara baada yay tokeo lako la form 6,
Nmesema hivyo nikiangalia na competition iliyopo kwasasa kwa wahitimu wa kidato cha sita kwenda chuo kikuu kulingana na ufauru wao, chamsing kwasasa ww angalia unataka kuwa nani na utafanyaje kuwa huyo unayetaka kuwa. Hapa namaanisha uhakikishe una make result nzur ambazo zitakufanya kuwa huyo unaemtaka,
Ingawa vyuo now vipo vingi na vitu vya kusoma n vingi bt kwa combination yako law pia ingekufaa zaid
Sent using Jamii Forums mobile app
Form six ulifikafikaje kid.Asante kwa ushauli
Sent from my iPhone using JamiiForums