Course za engineering mbona waombaji wamepungua?.

Course za engineering mbona waombaji wamepungua?.

RUSTEM PASHA

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2016
Posts
4,734
Reaction score
11,461
Wakuu najaribu kujiuliza ni kwa nini course za engineering naona waombaji wachache?.

Has a ukizingatia zile course zilizopo cluster 1,ambazo zinakipaumbele kikubwa cha mkopo mpaka sasa sioni waombaji wakiziomba?.

Mfano Water system and irrigation engineering ipo vyuo viwili tu ambavyo ni Sua na WDMI(chuo cha maji ubungo),na kuna kipaumbele kikubwa cha mkopo saw a na course za afya lakini nikiangalia waombaji online mpaka sasa niwachache kiasi kwamba hata 80 hawafiki.

Ukiangalia pia Petroleum and gas engineering waombaji pia niwachache ingawa inatolewa vyuo vitatu tu,ambavyo ni Udsm,DIT,Udom.

Course zile za cluster 2 ambazo pia zinakipaumbele cha mkopo,zina watu wachache pia.Course kama Mechanical,Civil,Electrical,Mining zina watu wachache pia.

Sasa najiuliza au kwa vile muda wa kuaply bado nimkubwa wataongezeka kadri muda uedavyo.Lakini chakustajabisha siku mbili za mwanzo course kama Water priority namba one chuo cha maji walikuwa watu 67,lakini ukiangalia sasa wapo kama 26,the same na kwa Sua walikuwa zaidi ya watu 71 lakini ukiangalia kwa sasa wapo watu kama 50.

Nikifatilia trend ya mwaka jana muda kama huu course za engineering zilikuwa zina watu wengi wanalio apply tofauti na mwaka huu.

Nimelezea course chache lakini kiujumla engineering hazina watu kabisa ukilinganisha na miaka mitatu iliyopita.Lakini ngoja tuendelee kusubili kadri muda unavyoenda.
 

Attachments

  • Screenshot_2016-08-01-09-12-21.png
    Screenshot_2016-08-01-09-12-21.png
    22.2 KB · Views: 64
  • Screenshot_2016-08-01-09-13-14.png
    Screenshot_2016-08-01-09-13-14.png
    24 KB · Views: 71
Waombaji bado wanajitathimini.
 
Engineering si unajua hawaendi v.ilaza ni shurti uwe fit kiakili kiafya na kila kitu.
 
Yawezekana waliofikia vigezo vya kuomba ni wachache.
 
Tuangalie na soko la ajira za wahandisi likoje kwa sasa na siku za usoni.
 
Tuangalie na soko la ajira za wahandisi likoje kwa sasa na siku za usoni.
Soko la wahandisi ni zuri mkuu pia litakuwa zuri zaidi kama serikali atatekeleza mipango yake tofauti na hivyo litaendelea kuwa la kati tu.

Lakini pia wanafunzi wanaomaliza katika michipuo ya sayansi combination zinye watu wengi huwa nizile zinazobeba wahandisi labda iwe imebadilika kwa sasa.Lakini najiuliza wanafunzi wameenda wapi au ndio hawajafikia vigezo.
 
Ukiona hivo ujue ndalichako na raisi wake wamefanikiwa katika mpango wao wa kupunguza wanafunzi vyuo vikuu ili kupunguza matumizi ya hela za serikali
 
Kwa system iliyopo sasa hivi , kuapply NACTE via CAS ni dhahiri waombaji watakuwa wachache sana, Hii italeta neema kwa wachache waliopo tayari kwenye hizo course kupata ajira baada ya kumaliza.

Ila ni hatari kwa Taifa kuwa na shortage ya maengeneer..!
 
Ukiona hivo ujue ndalichako na raisi wake wamefanikiwa katika mpango wao wa kupunguza wanafunzi vyuo vikuu ili kupunguza matumizi ya hela za serikali
Mkuu hili linafaida gani au hasara gani kwa taifa?.
 
Kwa system iliyopo sasa hivi , kuapply NACTE via CAS ni dhahiri waombaji watakuwa wachache sana, Hii italeta neema kwa wachache waliopo tayari kwenye hizo course kupata ajira baada ya kumaliza.

Ila ni hatari kwa Taifa kuwa na shortage ya maengeneer..!
Ngoja tuendelee kusubili may be muda unavyoenda wataongezeka pia waombaji.
 
Wakuu najaribu kujiuliza ni kwa nini course za engineering naona waombaji wachache?.

Has a ukizingatia zile course zilizopo cluster 1,ambazo zinakipaumbele kikubwa cha mkopo mpaka sasa sioni waombaji wakiziomba?.

Mfano Water system and irrigation engineering ipo vyuo viwili tu ambavyo ni Sua na WDMI(chuo cha maji ubungo),na kuna kipaumbele kikubwa cha mkopo saw a na course za afya lakini nikiangalia waombaji online mpaka sasa niwachache kiasi kwamba hata 80 hawafiki.

Ukiangalia pia Petroleum and gas engineering waombaji pia niwachache ingawa inatolewa vyuo vitatu tu,ambavyo ni Udsm,DIT,Udom.

Course zile za cluster 2 ambazo pia zinakipaumbele cha mkopo,zina watu wachache pia.Course kama Mechanical,Civil,Electrical,Mining zina watu wachache pia.

Sasa najiuliza au kwa vile muda wa kuaply bado nimkubwa wataongezeka kadri muda uedavyo.Lakini chakustajabisha siku mbili za mwanzo course kama Water priority namba one chuo cha maji walikuwa watu 67,lakini ukiangalia sasa wapo kama 26,the same na kwa Sua walikuwa zaidi ya watu 71 lakini ukiangalia kwa sasa wapo watu kama 50.

Nikifatilia trend ya mwaka jana muda kama huu course za engineering zilikuwa zina watu wengi wanalio apply tofauti na mwaka huu.

Nimelezea course chache lakini kiujumla engineering hazina watu kabisa ukilinganisha na miaka mitatu iliyopita.Lakini ngoja tuendelee kusubili kadri muda unavyoenda.
duuuuh mkuu ni kweli unachosema???? maana sisi wa diploma za engineering tunawaza kichizi kukuta nafasi zimejaa mwaka jana machalii zangu arusha tech walikujapangiwa kozi tofauti kabisa na walizoziomba
 
duuuuh mkuu ni kweli unachosema???? maana sisi wa diploma za engineering tunawaza kichizi kukuta nafasi zimejaa mwaka jana machalii zangu arusha tech walikujapangiwa kozi tofauti kabisa na walizoziomba
Kwa sasa hali ni tete course hazina watu kabisa,nasijajua tatizo ni nini.
 
Back
Top Bottom