RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,734
- 11,461
Wakuu najaribu kujiuliza ni kwa nini course za engineering naona waombaji wachache?.
Has a ukizingatia zile course zilizopo cluster 1,ambazo zinakipaumbele kikubwa cha mkopo mpaka sasa sioni waombaji wakiziomba?.
Mfano Water system and irrigation engineering ipo vyuo viwili tu ambavyo ni Sua na WDMI(chuo cha maji ubungo),na kuna kipaumbele kikubwa cha mkopo saw a na course za afya lakini nikiangalia waombaji online mpaka sasa niwachache kiasi kwamba hata 80 hawafiki.
Ukiangalia pia Petroleum and gas engineering waombaji pia niwachache ingawa inatolewa vyuo vitatu tu,ambavyo ni Udsm,DIT,Udom.
Course zile za cluster 2 ambazo pia zinakipaumbele cha mkopo,zina watu wachache pia.Course kama Mechanical,Civil,Electrical,Mining zina watu wachache pia.
Sasa najiuliza au kwa vile muda wa kuaply bado nimkubwa wataongezeka kadri muda uedavyo.Lakini chakustajabisha siku mbili za mwanzo course kama Water priority namba one chuo cha maji walikuwa watu 67,lakini ukiangalia sasa wapo kama 26,the same na kwa Sua walikuwa zaidi ya watu 71 lakini ukiangalia kwa sasa wapo watu kama 50.
Nikifatilia trend ya mwaka jana muda kama huu course za engineering zilikuwa zina watu wengi wanalio apply tofauti na mwaka huu.
Nimelezea course chache lakini kiujumla engineering hazina watu kabisa ukilinganisha na miaka mitatu iliyopita.Lakini ngoja tuendelee kusubili kadri muda unavyoenda.
Has a ukizingatia zile course zilizopo cluster 1,ambazo zinakipaumbele kikubwa cha mkopo mpaka sasa sioni waombaji wakiziomba?.
Mfano Water system and irrigation engineering ipo vyuo viwili tu ambavyo ni Sua na WDMI(chuo cha maji ubungo),na kuna kipaumbele kikubwa cha mkopo saw a na course za afya lakini nikiangalia waombaji online mpaka sasa niwachache kiasi kwamba hata 80 hawafiki.
Ukiangalia pia Petroleum and gas engineering waombaji pia niwachache ingawa inatolewa vyuo vitatu tu,ambavyo ni Udsm,DIT,Udom.
Course zile za cluster 2 ambazo pia zinakipaumbele cha mkopo,zina watu wachache pia.Course kama Mechanical,Civil,Electrical,Mining zina watu wachache pia.
Sasa najiuliza au kwa vile muda wa kuaply bado nimkubwa wataongezeka kadri muda uedavyo.Lakini chakustajabisha siku mbili za mwanzo course kama Water priority namba one chuo cha maji walikuwa watu 67,lakini ukiangalia sasa wapo kama 26,the same na kwa Sua walikuwa zaidi ya watu 71 lakini ukiangalia kwa sasa wapo watu kama 50.
Nikifatilia trend ya mwaka jana muda kama huu course za engineering zilikuwa zina watu wengi wanalio apply tofauti na mwaka huu.
Nimelezea course chache lakini kiujumla engineering hazina watu kabisa ukilinganisha na miaka mitatu iliyopita.Lakini ngoja tuendelee kusubili kadri muda unavyoenda.