Couples Za Kibongo!

Labda tuone hii kwa kuanzia...

ha ha haaa...unajua unanikumbusha professor wangu mmoja wa kihaya chuo kikuu,,,alikuwa anauliza sababu ya kuoa wazungu...' ni sababu ni wazurii,,,au ni sababu ni wazunguuuu??'
 

Mkuu,,nadhani publishing industry Tanzania iko Governed na laws of Tanzania,,,unless kuna international laws ambazo ni mandatory kuzifuata ambazo sisi wote hatuzijui isipokuwa wewe....hatuwezi kuwa bound na sheria iliyoko Uingerezani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…