Couples za JF ni hizi...!

Couples za JF ni hizi...!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
16,202
Reaction score
8,781
Wanajukwaa,
Jana kumetundikwa thread moja, HII-HAPA, ambayo muwasilishaji anayeenda kwa jina la Pearl alieleza anavyoota sifa za wadau mbalimbali wa hapa ndani jinsi walivyo kwa hisia zake na kwa kusoma mabandiko yao!!..mfano, (nanukuu):
Geoff: ni mtu mnene,mrefu,mpole,mcheshi
Xpin: mtundu,mchokozi,mcheshi
kaizer: mchokozi,mcheshi,mrefu,mwembamba
1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake
Bht: mcheshi,muongeaji,zais ya kati,lady with dignity n principoz
Buji: mcheshi,mchekeshaji yani huchoki kuwa nae,
Masaki :mcheshi,mkaka
Ngoswe: mcheshi,mpenda kabila lake,anapenda kusoma
Pearl....easy to befriend, loving and caring, prety, hard working
Lily Flower.....dah mpole, wise (listens more n talks less), heshima sana
Akili kichwani: mkorofi,mtukanaji,mropokaji
Kigogo.....babu asopenda shida, anadharau mambo mengi (hana stress) Mwanakijiji: mpenda maendeleo,haogopi kusema ukweli yuko tayari kufa kutetea taifa lake,anaipenda familia yake ya Tanzania
Paka jimmy: mpole mpenda dini,anaheshim maamuzi ya watu hata kama yy ataonewa
WOS: mdada,mmama,mwalimu ,mwanafunzi yuko tayri kujifunza kushirikiana na wenzie
Invizibo: Mlevi, mpenda vurugu, mpenda totoz
Maxence: Mvivu, mbishi,mchonganishi mpenda wake za watu.
Shishi :mpole lady to become a woman,caring
Boss ; bossy, anajiamini, mpole, caring, selfless, mpenda starehe (lakini baada ya kazi), anapenda mademu huko ofisini kwake naona kawamaliza.
Pretta: mpole,mpenda maendeleo,mvumilivu
na wengine weengi walioorodheshwa!

Swali: Je JF ingelikuwa ni SAYARI , ni nani na nani hapo wanakubaliana KWA SIFA na HADHI zilizobuniwa, kuwa couple?...
 
kwa mtazamo wangu ni kama ifuatavyo:
pakajimmy + WOS (familia itakuwa na adabu)
bht + balantanda (hilo halina mjadala)
pearl + drphone (imetulia)
MMK + FL1 (hawa ndugu watawaonea sana)
kigogo + birigita (mmhh)
Lilyflower + rayB (watacope)
Fidel + Maria Roza (hapa kutakesha)
Masanilo + Annina (mbona bibie atajiju)

Bado nitaendelea.......
 
Jesus!
You guys, unless if you are not serious...nitamweza wapi mimi Pearl?..mi namhisi kama yuko naniliu sana!
Mkuu PJ mnawezana sana na bibie huyo si unaona avatar yenyewe ilivyotulia
 
Bht: mcheshi,muongeaji,zais ya kati,lady with dignity n principoz +Buji: mcheshi,mchekeshaji yani huchoki kuwa nae= BONGE LA COUPLE
 
kwa mtazamo wangu ni kama ifuatavyo:
pakajimmy + WOS (familia itakuwa na adabu)
bht + balantanda (hilo halina mjadala)
pearl + drphone (imetulia)
MMK + FL1 (hawa ndugu watawaonea sana)
kigogo + birigita (mmhh)
Lilyflower + rayB (watacope)

Bado nitaendelea.......

Kazi ipo , baba watoto funga macho usisome hapo kwenye red, ni mtazamo tu wa Preta.
 
kwa mtazamo wangu ni kama ifuatavyo:
pakajimmy + WOS (familia itakuwa na adabu)
bht + balantanda (hilo halina mjadala)
pearl + drphone (imetulia)
MMK + FL1 (hawa ndugu watawaonea sana)
kigogo + birigita (mmhh)
Lilyflower + rayB (watacope)

Bado nitaendelea.......

wewe pearl na drphone itulie drphone mbishiiiiiiiiiiiiiiii peral mjuajiiiiiiiiiiiii umeona tofauti hiyo
 
kwa mtazamo wangu ni kama ifuatavyo:
pakajimmy + WOS (familia itakuwa na adabu)
bht + balantanda (hilo halina mjadala)
pearl + drphone (imetulia)
MMK + FL1 (hawa ndugu watawaonea sana)
kigogo + birigita (mmhh)
Lilyflower + rayB (watacope)

Bado nitaendelea.......
Du, Preta sasa wewe unataka kuniua!..Jimama wote mnene vile nitafanza vp miyeee?
 
Mntafuta kuchonganisha nyumba za watu. Pakajimmy utashikiliwa wewe hapo kwa kosa hilo la jinai. Usiseme sikukuambia. 😉
 
Xpin na pretta, makofi tafadhali..... very good couple.
Lily flower wifi yangu,mbona unataka kumpa mchumba wangu pretta? unanisaliti wifi yako?
Toka jana nachokozwa humu JFwanataka kututenga.
Jamani CHRISPIN & CHARITY are couples a long time ago,msituingilie na mapenzi yetu
 
Mntafuta kuchonganisha nyumba za watu. Pakajimmy utashikiliwa wewe hapo kwa kosa hilo la jinai. Usiseme sikukuambia. 😉
Noop..tuliza moyo besti!..woga wako tu na presha hiyo!..nijuavyo mimi hakuna sayari ya JF!..Bado haijazaliwa!...soma vizuri original thread!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom