Counting Down: Lowassa na Dr. Magufuli, mpambano wa karne

Counting Down: Lowassa na Dr. Magufuli, mpambano wa karne

Labda urais wa watu wanaojinye na si urais wa nchi. Ikulu hawezi kwenda fisadi

Baada Ya oct 25 Hata Wewe Utakuwa HuRu Na Kutoka Kwenye Minyororo Ya Ccm. sinta Shangaa Ukianza Kumshangilia Lowassa Babu Lai. Maana ccm Upo Kimaslai Lakini Moyo Wako Upo UKAWA Kwa Lowassa.
 
Bila kuficha maneno kada wa ccm katika ubora wake
 
Hamna namna yeyote, Lowassa anakuwa Rais wa Tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpaka sasa CCM wamekwisha kubali, ujeuri tu.
 
Lizaboni Kikwete alipoanguka pale Jangwani akaja kuwa Rais wa wanaoanguka? Halafu wewe unao ushahidi wa ujinga ule uliosemwa na Msukuma?
Mkuu Achana na huyo kijana wa post per pay.
Urais unahitaji mtu mwenye akili timamu na mwenye kuweza kufanya organization zenye mashiko kuendeleza uchumi na kuondoa umasikini.
Uraisi sio ugomvi, kukemea, kubeba vyuma a kurukaruka kama mwendawazimu.

Tukutane Oct 25
 
Nani atampa mamlaka hayo? Mnadhani nchi hii watu hawana akili? Subirini kipigo ndani ya ballot box

Mwny Mamlaka ni Mungu pekeyake sio miungu yenu, hamjssjtuka kila mnachopanga nje.......

Mara hii tutawaonyesha kuwa Mungu yupo kazini sio ccm wala mtu mwenye Mamlaka ya mwisho.
Stay tuned

#ufalme umefitinika #
 
NDIPO nyota ya yule MZALENDO Zitto itaibuka kama ya lowassa.
 
Last edited by a moderator:
2015 Election results: Chadema...Chopa 10, Majimbo 10.
Urais Magufuli 2015-2025. Hakuna serikali ya mseto. Jufunzeni kuzoea
 
Labda urais wa watu wanaojinye na si urais wa nchi. Ikulu hawezi kwenda fisadi

Uwezo wako wa kufikiri na kujenga hoja ndio umefikia apo?!subria elimu ya bure mpk chuo.
 
VUTA-NKUVUTE


Mzee wangu kama kungekuwa na HAKI na UHURU wa kuchagua tukitakacho au tukipendacho,basi kwa uhakika CCM ingekuwa imeondoka misa ya asubuhi kabisa.

Ninaangalia nguvu kubwa ya pesa inayotumika na CHAMA tawala kumnadi Magufuli hakika sielewi.Hivi ulishindwa hata kuwaambai jamani anaglieni kwanini mlidondoka na si wapi mlidondokea???

Ninashangazwa na PLAN B ya wagombea wa CCM kuwahonga MAWAKALA wa Upinzani,anayehonga ili aingie BUNGENI ili kesho achaguliwe uwaziri na anayetumia pesa nyingi kulazimisha apite kuwa raisi kwa tiketi ya CHAMA CHETU KITUKUTU CHA MCHWA.

Sijui pesa hizi zote zinapatikana wapi leo ikiwa hospitali zetu hazina madawa.Hakika kwa CCM rushwa haitakaa iishe.
 
Last edited by a moderator:
Dar es salaam na mwanza eh , rais wetu ni lowasa eh Arusha na Mbeya eh rais wetu ni mamvi eh. Amevaa, amevaa kombati .... Haya tuimbeni wote kina Liza na wenzako. !
 
Back
Top Bottom