Counter Maandamano!

Counter Maandamano!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Nashauri hapa Jeshi letu la Polisi likae pembeni kama Tundu Lisu, fisadi Lowasa, Mbowe &Co. wakianzisha maandamano vipi CCM nao wakijibu kwa kuwashawishi wanachama wao pia nao wafanye maandamano kuwapinga?

Ni kipi kitatokea? Au Tundu Lisu anafikiri kwamba CCM hawana Wanachama ambao pia wanavuta bangi na kunywa viroba ambao pia wanaweza kuandamana?
 
Mtoa post akili yako bora ya huyo mbwa kwenye prof yako.
 
Nashauri hapa Jeshi letu la Polisi likae pembeni kama Tundu Lisu, fisadi Lowasa, Mbowe &Co. wakianzisha maandamano vipi CCM nao wakijibu kwa kuwashawishi wanachama wao pia nao wafanye maandamano kuwapinga?

Ni kipi kitatokea? Au Tundu Lisu anafikiri kwamba CCM hawana Wanachama ambao pia wanavuta bangi na kunywa viroba ambao pia wanaweza kuandamana?
Wewe ni cho....kooooo
 
Back
Top Bottom