Tisha-TOTO
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 1,175
- 604
Live Feeds follow this link: https://www.jamiiforums.com/sports/332695-simba-vs-yanga-oct-03-2012-a.html
Haya haya tena kumekucha wapenzi wa kabumbu wa bongo.
Yamebaki takribani masaa 48 kabla ya kuanza kwa ule mtanange wa watani wa jadi (derby) utakaofanyika Jumatano tarehe 3 Oktoba 2012 katika uwanja wa taifa jijini Dar.
Thread hii inatoa nafasi kwa wapenzi wa soka (pro-Yanga, pro-Simba, neutrals, etc) kutoa maoni, tathmini, predictions, statistics, nk tunapoelekea kwenye mpambano huo maarufu.
It will be interesting, in particular, to see how the controversially signed players like Twite & Yondani on one side and Ngasa on the other will fair in this match - especially with all that emotional love and hatred mix from the watching crowds on the terraces!
Kutoa matusi is at your own peril kwani Invisble & co are watching!
Here we go!
UPDATES....
Dakika chache zilizopita nilikuwa nasikiliza Capital Radio walikuwa na Simba v Yanga match preview programme. Mmoja wa wachangiaji waalikwa alikuwepo "Dk" Uwesu ("mtaalamu" wa tiba asilia na mtabiri wa nyota).
Nanukuu hapa chini alichokisema "Dk" Uwesu...
"Utabiri wa mechi ya Simba na Yanga ni mgumu sana. Lakini hadi dakika hii inaonyesha Simba 2 na Yanga 1. Hata hivyo, kwa kawaida Jumatano huwa ni siku ambayo hutawaliwa na rangi ya njano. Hii maana yake nini? Tafsiri yake ni kwamba Simba watatawala sana mwanzoni mwa mchezo lakini Yanga nao watatawala sana mwishoni mwa mchezo na hivyo kinyota matokeo ya mchezo yatageuka kuwa Simba 1 Yanga 2"
Haya wadau, sisi wengine yetu ni macho na masikio tu!
Haya haya tena kumekucha wapenzi wa kabumbu wa bongo.
Yamebaki takribani masaa 48 kabla ya kuanza kwa ule mtanange wa watani wa jadi (derby) utakaofanyika Jumatano tarehe 3 Oktoba 2012 katika uwanja wa taifa jijini Dar.
Thread hii inatoa nafasi kwa wapenzi wa soka (pro-Yanga, pro-Simba, neutrals, etc) kutoa maoni, tathmini, predictions, statistics, nk tunapoelekea kwenye mpambano huo maarufu.
It will be interesting, in particular, to see how the controversially signed players like Twite & Yondani on one side and Ngasa on the other will fair in this match - especially with all that emotional love and hatred mix from the watching crowds on the terraces!
Kutoa matusi is at your own peril kwani Invisble & co are watching!
Here we go!
UPDATES....
Dakika chache zilizopita nilikuwa nasikiliza Capital Radio walikuwa na Simba v Yanga match preview programme. Mmoja wa wachangiaji waalikwa alikuwepo "Dk" Uwesu ("mtaalamu" wa tiba asilia na mtabiri wa nyota).
Nanukuu hapa chini alichokisema "Dk" Uwesu...
"Utabiri wa mechi ya Simba na Yanga ni mgumu sana. Lakini hadi dakika hii inaonyesha Simba 2 na Yanga 1. Hata hivyo, kwa kawaida Jumatano huwa ni siku ambayo hutawaliwa na rangi ya njano. Hii maana yake nini? Tafsiri yake ni kwamba Simba watatawala sana mwanzoni mwa mchezo lakini Yanga nao watatawala sana mwishoni mwa mchezo na hivyo kinyota matokeo ya mchezo yatageuka kuwa Simba 1 Yanga 2"
Haya wadau, sisi wengine yetu ni macho na masikio tu!
Sijui Minziro akishirikiana na Mkuu wake Mholanzi Ernst Brandts watapangaje 11 wa kwanza leo,kwa mtazamo wangu hawa wangeanza:-
1. Yaw Berko
2. Mbuyi Twite
3. Oscar Joshua
4. Nadir Haroub "Canavaro"
5. Kelvin Yondani
6. Athuman Iddi "Chuji"
7. Simon Msuva
8. Haruna Niyonzima "Febregus"
9. Didier Kavumbagu
10. Said Bahanuzi
11.Hamis Kiiza "Diego"
Pangekuwa patamu.......pale nyuma pamoja na kwamba wameruhusu magoli ma'5 katika mechi 4 bado ninaamini hakuna team yenye beki line nzuri kama hii wakitulia kila mtu atawapenda.
Kuna watu wawili wa watani zetu nawaonea huruma sana wa kwanza ni Mrisho Ngassa...kama kwenye mechi ya leo atapangwa kushambulia kutokea kushoto(kama ambavyo amekuwa akitumika mechi za hivi karibuni) na kusababisha awe anakabana na Mbuyu Twite kuna hatihati zile shutuma za kuwa na mapenzi na Yanga zinaweza zikaibuka upya tena kwa nguvu kubwa kwani kuna kila dalili ya Twite aliyepania kuwaonyesha Simba kuwa yeye ni beki mahiri ukanda huu tena huku akicheza kwa maelekezo ya Kocha wake aliyekuwa naye APR atamfunika kabisa.
Wa'2 ninayemuonea huruma ni Paul Ngalema endapo atapangwa asimame beki ya kushoto,itakuwa ajabu sana kama mfupa alioukimbia Fisi,Mbwa aumudu(Maftah kakimbia,Ngalema ataweza kweli,sijui...nina uhakika kama hatajipanga vizuri leo pale atakapokuwa anakabana na Dogo Msuva beki huyu anaweza kujikuta dirisha dogo akitolewa kwa mkopo kwenda team nyingine,na ikitokea tu Ngalema kuzidiwa na kulazimika Nyoso kumsaidia basi kuna hatihati Yanga leo baada ya miaka kadhaa tukaambulia penalt katika mechi dhidi ya Simba kwasababu kwa jinsi uchezaji wa Msuva ulivyo akikabana na Nyoso tu kuna mawili card au penalt.
Pale kati Chuji na Niyonzima ndo stahili,ngoma ya wakubwa kama hii mtu kama Domayo labda aingie dakika za mwisho team ikiwa tayari inaongoza....pale mbele pamoja na kwamba hajafunga hata goli 1,kwenye mechi kubwa kama hii ndo unaweza ukauona uzuri wa Bahanuzi anayejaribu kurudisha kiwango chake alichokionyesha Kagame,lkn akizingua si vibaya akampisha Mzoefu Nizar ambaye anaweza kurudi kulia Msuva akaenda kushoto na Kiiza kurudi kati kusaidiana na Kavumbagu.
All in all huu ni mtazamo wangu tu,nafikiri kila mtu anajua kuwa mpira wa miguu una matokeo ya aina 3, kufunga/kufungwa/droo.
Nawasilisha.
Fair analysis, tayari Yanga wanaingia wakiwa na kumbukumbu ya kupigwa tatu bila na Mtibwa kwenye ligi wakati Simba anaingia na record ya kutokufungwa hata mechi moja wala kutoa draw. Psychologically Simba wapo better zaidi kuliko Yanga.
Again Yanga wapo under pressure baada ya kuchapwa bao tano bila na Simba katika mechi yao ya mwisho, na hivyo nategemea kuona wakicheza kwa tahadhari kubwa sana.
Kiuchezaji Yanga ni wazuri na hasa wachezaji wa kati, huwa wanapendelea kucheza mpira wa sekeseke, wa kukimbiza, that's their style of play. They do not play an entertaining football most of the time.
Simba mara nyingi wanacheza mpira wa kupanga mashambulizi, they pass the ball around and they are pretty entertaining. Kwa kumkosa Okwi Simba wana pigo kubwa sana pale mbele. Mara nyingi Sunzu sio mchezaji skillfull sana katika kuwapenya mabeki ila kuwa anajiposion vizuri na kuscore very important goals. Mara nyingi anapokabwa sana anakuwa haonekani mpaka anasahaulika, na ndio hapo anapoweza kufanya madhara.
Tunategemea mpira mzuri ila ushindi utaenda kwa yeyote, wote wana deserve kushinda.
Tukifungwa hatutakubali ksbb zifuatazo:-
1. Okwi wetu hajacheza
2. Maftah wetu naye ame'miss
3. Mwenyekiti wa Yanga ana hela sana
By,
Mshabiki halisi wa Mnyama a.k.a Simba.
Simba 5-Yanga 0
mnyama chali...........
Natabiri lazima kuna timu itashinda.
Mnyamaa ndo lazma ataua...
kadamibi lazima apigwe dudu kesho ....we dont lough akichezea sharuku tu anakula sita kwa nunge ..solution asilete timu uwanjani
Kutabiri! na mimi natabiri Simba 3 Yanga 0! haya update Thread utende haki!!