Countdown matukio ya kusikitisha 2005-2015

Countdown matukio ya kusikitisha 2005-2015

Joined
Jun 29, 2015
Posts
96
Reaction score
29
1. Kukataliwa kwa rufaa ya babu sea na papii kocha.
2. Kuuzwa kwa wanyama wetu na maliasili nyingi nje ya nchi.
3. Kuuawa kwa wandishi wa habari, wanaharakati pamoja na polisi na vyombo vya dola kutumia nguvu kupita kiasi...
4. Katiba mpya iliyopelekea kifo cha DR. SENKONDO ADRIAN MVUNGI.
5..
6..
 
Baby sea ndii nani??


1..kutataliwa kwa rufaa ya baby sea..
2...kuuzwa kwa wanyama wetu na maliasili nyingi nje ya nchi...
3...kuuawa kwa wandishi wa habari, wanaharakati pamoja na polisi na vyombo vya dola kutumia nguvu kupita kiasi...
4...katiba mpya iliyopelekea kifo cha DR. SENKONDO ADRIAN MVUNGI...
5..
6..
 
Meli ya MV Spice
Islander iliyozama na kuua takribani watu 240 Nungwi, Huku TBC ikionesha Taarab
 
Kuuwawa kwa kiongozi wa kundi la alquaida Osama bin laden na majeshi ya Marekani
 
1. kifo cha gadafi
2. wezi kubembelezwa kurudisha pesa tz
3. wasanii kuongoza nchi tz
 
5, eskroo hela sio za umma
6. mgao wa umeme
7. kupanda kwa dollar dhidi ya shilingi kama uyoga
8.kuzuka kwa dengue na tezi dume
9. sisemu kuwa na watangaza ni 40+
10. albino kufanywa dili
11. Mzee wa vijisenti kuwa nyoka wa makengeza msaka noti
 
Kuuwawa kwa kiongozi wa kundi la alquaida Osama bin laden na majeshi ya Marekani
Hahaha,mkuu jamaa we hujamsoma,yeye anataka ku boost issue ya Siasa humu,sasa naona umempotezea unamuhamisha nchi,wakati mwenzi katumwa na cha watu kachukua,hahaha
 
Ujio wa Obama, Barabara zikapigwa deki

Membe akawatangazia Wananchi wa mikoani wasije mjini mpaka Obama aondoke.
 
Ujio wa Obama, Barabara zikapigwa deki

Membe akawatangazia Wananchi wa mikoani wasije mjini mpaka Obama aondoke.

umetisha kaka..,
JK kuahirisha kwenda nje kisa kushiriki msiba wa KANUMBA wakati BRIGEDIA KOTA alifariki kashindwa kutuma hata mwakilishi....
BAADHI YA VIONGOZI WA DUNIA KURUDI TZ NA KUANGUKIA KWENYE SIASA NA UONGOZI WA TZ...ie,.BIBI NSHOMIRE/HiZi NI HERA ZA MBOGA TU RWETABAZI, DR. ASHA MIGIRO, PROF. MUONGO
 
umetisha kaka..,
JK kuahirisha kwenda nje kisa kushiriki msiba wa KANUMBA wakati BRIGEDIA KOTA alifariki kashindwa kutuma hata mwakilishi....
BAADHI YA VIONGOZI WA DUNIA KURUDI TZ NA KUANGUKIA KWENYE SIASA NA UONGOZI WA TZ...ie,.BIBI NSHOMIRE/HiZi NI HERA ZA MBOGA TU RWETABAZI, DR. ASHA MIGIRO, PROF. MUONGO


Only in Tanzania
 
kauli ikiyozua utata bungeni..."WAPIGWE TU"

Tezi dume (watu wengi walikuwa hawafahamu hii kitu mpaka yalipomsipo mkulu).
 
Back
Top Bottom