Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Mchina alijenga kwa mkopo na deni lilishaisha. Tanzania ndio nchi ya kwanza Afrika Mashariki na kati kujenga reli yake baada ya mkoloni kuondoka.

Unaonesha huna upeo mkubwa, sio nchi zote duniani zinatumia SGR. SGR ni 55% ya reli zote duniani. Wakati wa ubora wake TAZARA ilikuwa na ufanisi mkubwa kuliko sasa hivi. Hata baada ya miaka 50 SGR ya Kenya haitakuwa na ubora kama wa sasa.

Zambia : TAZARA reaps US$13 million profit
Unadhani miaka 50 ijayo na wao watakua na mawazo hayo hayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
First phase. DAR ES SALAAM -MOROGORO is U/C, See the first section that is U/C on the map below

C9NmlPwXcAAbrZO.jpg


and the entire Project below

C9Nmj-UXsAAYaP8.jpg
tunataka mapicha ya mradi sio sinema za bongo:D
 
Siku si nyingi utaanza kupata picha. Mradi wetu ni 'design and building' kwa hiyo hatua za awali zilikuwa ni kufanya 'detailed design'.
Tunajua picha zitakuja ujenzi ukianza, lakini mngeounguza kidomo domo kingi mpaka muanze ujenzi wa reli yenyewe alafu ndo muonge mtakavyo, kwa mfano angalia hii mada, imefika ukurasa 43 hakuna hata picha moja inaonyesha reli ya Tz! Ni mdomo tu, tulieni kwanza, meongelea sana hii reli yenu mpaka picha zikianza kuja ntakua hamna la kuongea itabidi muanze kujiregelea...



Alafu kila mradi wa aiana hii uko na feasibility study, Environmental assessment, na design, hata phase 2 yetu iko na artistic impression tayari




1626322764067100.jpg
1626284170737626.jpg
 
When approaching JKIA runway Nairobi....


SGR Nairobi station on the left and maintenance yard on the right

36004706410_3ebbfcedf6_h.jpg
 
Back
Top Bottom