The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,830
- 82,358
Kwahyo hapa tujue ww ni Macos au hydrogenTatizo waTanzania wengi cant handle critism! Sijui ni malezi, ushamba, utoto au elim ndogo. Mtu anaacha kujadili point anaanza personal attack, Utaambiwa wewe sio mzalendo au sio mTanzania!
Napenda kutumia mfano wa BRT coz ni mfano ulio hai, walio hoji miaka hio waliambiwa maneno kama haya haya mara wasijifanye wanajua kuzidi ma-engineer, wao sio wazalendo, kambi la upinzani nkdk..
Lazima tutambue kua mtu anaweza akawa mzalendo na bado akahoji miradi ya kitaifa kufatana na analysis yake. WaTanzania tujitambue tuachane na hisia (emotions) sehem za kutumia logic.
Kuna msauzi mmoja anaeishi marekani anaitwa Trevor Noah, kwa wanaomfaham huyu jamaa, kwenye youtube channel yake ni critic mkubwa sana wa chama cha Republican, Donald Trump na serekali lakini ukisoma comments sijawai kukutana na inayomwambia aka critisize matatizo ya nyumbani kwao south Africa badala yake wana focus kwenye point aliyoiongea, wakukubaliana nae watakubaliana nae na wakumpinga watampinga based on alichokiongea sio utaifa wake. Huku ndo kukomaa kiakili.
Sitashangaa mtu kuja na mistari kama "hao wamarekani unaowasifia ndo wanafanya x, y, z!" Haya ndo maongezi typical ya wana vijiwe. Kukwepa mada kwa kuanzisha mada nyingine nyingi na emonji nyingi kama mtoto wa chekechea.
https://www.jamiiforums.com/members/lusematic.413388/
https://www.jamiiforums.com/members/geza-ulole.19620/ https://www.jamiiforums.com/members/simon.206493/ https://www.jamiiforums.com/members/ezz-chezz.41247/ https://www.jamiiforums.com/members/macos.10665/ https://www.jamiiforums.com/members/the-best-007.569706/ https://www.jamiiforums.com/members/babayao255.545870/