Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,188
- 79,401
- Thread starter
- #3,241
Nafikiri unaelewa kuwa zege lina muda maalum kukauka, hivyo madaraja na kalvati lazima yacheleweshe kasi ya ujenzi. Baada ya haya kukamilika kwenye mwezi wa nane huko, ujenzi utakwenda kwa kasi zaidi.Too slow, first 200km should be complete by now....
otherwise good work Tanzania
Lies,Nafikiri unaelewa kuwa zege lina muda maalum kukauka, hivyo madaraja na kalvati lazima yacheleweshe kasi ya ujenzi. Baada ya haya kukamilika kwenye mwezi wa nane huko, ujenzi utakwenda kwa kasi zaidi.
Lies,
Kubali imechelewa,
One month inatosha kumaliza more than 1000 if mko serious kama China CCCC
Mnajengewa madaraja miezi misaba sai hta hayajaisha....main station yenyewe ipo kwnye ground...alafu november eti mnazindua...magu hoye...View attachment 1127946
Sasa wasi wasi wako wa nini wakati mwaka haujaisha, si ungojee mwaka uishe tuone kama watamaliza au la.
Mnajengewa madaraja miezi misaba sai hta hayajaisha....main station yenyewe ipo kwnye ground...alafu november eti mnazindua...magu hoye...
Naona labda mtatumia vituo vya brt hku mkingoja kituo cha dar kukamilika 2021...magu hoyeeee
Usisahau reli yenu mmejenga 2012-2018 sisi tulianza 2017.Mnajengewa madaraja miezi misaba sai hta hayajaisha....main station yenyewe ipo kwnye ground...alafu november eti mnazindua...magu hoye...
Ushahidi please km ujenzi umeanza 2012Usisahau reli yenu mmejenga 2012-2018 sisi tulianza 2017.
Hiyo ya Wachina mbona haijafika Naivasha pamoja na wachina lukuki waliojaa huko na mitambo yote toka ChinaMnajengewa madaraja miezi misaba sai hta hayajaisha....main station yenyewe ipo kwnye ground...alafu november eti mnazindua...magu hoye...
Naona labda mtatumia vituo vya brt hku mkingoja kituo cha dar kukamilika 2021...magu hoyeeee
Hhhhh!!dude lipo naivasha kaka...we kumbe hujui kinachoendelea...tunangoja kuzindua tu baada ya finishingHiyo ya Wachina mbona haijafika Naivasha pamoja na wachina lukuki waliojaa huko na mitambo yote toka China
Hey warogi wa Tanzania, bado sijaona kile kibanda cha Dar. Kwani burret tireini itaanza kazi bila station?