Design yake itakua na redundancy circuit in mind kiasi kwamba kutoka Dar hadi Moro kutakua na substation kama nne au zaidi na zitakua zinatap ktk different sources za national grid. Kumbuka ni vigumu sana Umeme kukosekana ktk lines zote (ya kutoka Mtera, Kidatu, Kinyerezi etc) kwa wakati mmoja. Pia nadhani ktk substations wataweka pia emergency generators as well just incase.
Btw, Umeme wenyewe unaohitajika kuendeshea trani wala sio mwingi ni approx. 25 KVA
Ahaa nimeipata:
Power for locomotives and rail facilities
The railway will be electrified. Locomotives will be powered by 25 kV MV. For this purpose 7 Traction Power Substations (TPS) and 28 Auto Transformer Substations (ATS), whose locations are not determined yet, shall be installed along the line. The necessary 220 kV High Voltage Transmission lines supplying power to these substations will be provided by TANESCO.
- Alternative of selection of other feasible route. The EIA assessors analyzed five potential routes, as following:
1) Tapping from nearest point of existing 132 kV TL to each of the SGR substations
2) Tapping from nearest point of existing 220 kV Ubungo- Morogoro TL to each of the SGR substations
3) Tapping from nearest point of existing 220 kV Kinyerezi-Morogoro TL to each of the SGR substations
4) Dedicated 132 kV Kinyerezi – SGR- Msamvu transmission line 5) Dedicated 220 kV Kinyerezi – SGR- Msamvu transmission line
Source: