Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unajua kazi ya hiyo embankment! au unahisi inawekwa tu! ata reli yenu kuna sehemu haijawekwa. Kwa akili yako mnge ongeza pesa, mgeongezewa urefu wa tuta ungeona ndiyo ubora! Reli ya Tz kote ambapo hamna embankment kumechimbwa na kuwekwa udongo unao fit nakuwa compacted kwa kiwango kinachostahili.Hii reli kama ya Ethiopia is not on an embankment, you get what you pay for
But trenched with good drainage systems right...?Hii reli kama ya Ethiopia is not on an embankment, you get what you pay for
Hawa wapuuzi wana-act kama reli imejengwa kwa mara ya kwanza nchini kwao duniani!Hivi unajua kazi ya hiyo embankment! au unahisi inawekwa tu! ata reli yenu kuna sehemu haijawekwa. Kwa akili yako mnge ongeza pesa, mgeongezewa urefu wa tuta ungeona ndiyo ubora! Reli ya Tz kote ambapo hamna embankment kumechimbwa na kuwekwa udongo unao fit nakuwa compacted kwa kiwango kinachostahili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa na jirani yako ambae amejenga bondeni ana kucheka msingi wako ni mdogo tofauti na wake wakati kiwanja chako kiko sehemu tambalale! Hii hoja mtu ambae anaelewa ujenzi hawezi itumia. Wakenya mnajiabisha na hii hoja, embankment ni kwa ajili ya gradient, maeneo yanatofautiana terrain msi force tufanane.Hawa wapuuzi wana-act kama reli imejengwa kwa mara ya kwanza nchini kwao duniani!
Mturuki kwani ni kichaa ,yaani anajenga reli kwa mtaro?mi sio engineer bt mafuriko Tu kidogo kila kitu kitakua kinasitishwa..... station ambayo mnaficha inakaa Choo wah
Alafu mafala wanataka kucompare hii infrastructure na cheap things hadi za wheelbarrowsLaying of the last T-Beam in Section 6 phase 2A which happens to be the last Section of the routte , whats left now is Track laying, fencing, drainage and embankment protection ..... the small stuff.
Niliwaambia tupatiane miaka 10 hivi baada ya kila nchi imemaliza ujenzi, hapo ndo tutaanza kuona mbivu na mbichi kama rei ya nani ndo ilijengwa vizuri na inafanya kaziAlafu mafala wanataka kucompare hii infrastructure na cheap things hadi za wheelbarrows
Mturuki kwani ni kichaa ,yaani anajenga reli kwa mtaro?mi sio engineer bt mafuriko Tu kidogo kila kitu kitakua kinasitishwa..... station ambayo mnaficha inakaa Choo wah
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni mzungu aitwe mzungu na mchina abaki kua ni mchina👏👏👏👏Niliwaambia tupatiane miaka 10 hivi baada ya kila nchi imemaliza ujenzi, hapo ndo tutaanza kuona mbivu na mbichi kama rei ya nani ndo ilijengwa vizuri na inafanya kazi
Punguza maneno mingiNow I see why Kenya SGR is expensive. Quality diffrence ni kubwa aisee, kama embarkment wanaweka nyasi tuu, inamaanisha fence haitawekwa. Hapo ndipo watajua shida Ethiopia wamepitia....
Hii bridge ya Dar haijaisha? 7km Nairobi national park took 6months to finish, 1 year na bado mbali.
Bantu Gumboro.
Now I see why Kenya SGR is expensive. Quality diffrence ni kubwa aisee, kama embarkment wanaweka nyasi tuu, inamaanisha fence haitawekwa. Hapo ndipo watajua shida Ethiopia wamepitia....
Hii bridge ya Dar haijaisha? 7km Nairobi national park took 6months to finish, 1 year na bado mbali.