Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,849
- 103,705
- Thread starter
- #20,441
Mbona povu?Make kwanza nchekee😂.. Hii mbona hatujasikia mapambio na vinubi.. Wapi fedha zinatoka😂… Wapi tender ilipotangazwa, huyo mkandarasi ni nani kwani😂..
Mipango mingii kwenye makaratasi,mnaanzisha hili hamjamaliza mara mnaleta lile, mnatumalizia miti tu..
Naskia kumbe ni mipango tu ya PPP bana🙄Mbona povu?
Sidhani! Kagame ni kigeugeu!Means Rwanda is will connext its SGR through Tanzania?