Cosmological truth; death


Sijasema mpaka ulione. What I said ni kwamab hata icho kitabu chako unachosoma cha dini akijasema kaburini kuna Adhabu wala maisha. Toa aya yako hapa tuione as a theory atleast tuanze kuijadili. Wewe umetoa wapi hii kauli kaburini kuna adhabu na maisha? Utaniambia hadithi za mtume, BS ,kwenda zako.
 


Safi sana. Ila siamini katika Ramli,sasa unaniweka katika kundi gani ?

Lakini waambie walimu wako wakufundishe namna ya kujenga hoja na usiwe unakimbia maswali,tangu tuanze mjadala hujajibu swali langu zaidi ya lile linalo husu Hadithi.

Lakini mimi nimejifunza mambo kadhaa toka kwako ni kuwa hata kwenye Saynsi kuna story zisizo weza kuthibitishwa kwa misingi ya Sayansi yenyewe. Pili nimejifunza ya kuwa unatumia hisia kujua ukweli wa jambo,kitu ambacho hakitoshelezi. Tatu nimejifunza ya kuwa,mnaposhindwa hojanaleta tuhuma.

Nipo ....
 
Unaweza kuthibitisha kua nilipuliziwa roho

Naweza kukuthibitishia hilo. Soma hapa chini kwa mazingatio :

7. Ambaye ametengeneza vizuri umbo la kila kitu; na akaanzisha kumuumba mtu kwa udongo.
8. Na kisha akajaalia uzao wake utokane na kizazi cha maji madhaifu.
9. Kisha akamtengeneza, na akampulizia roho yake, na akakujaalieni kusikia na kuona, na nyoyo za kufahamu. Ni uchache mnavyo shukuru.
10. Nao husema: Tutapo kwisha potea chini ya ardhi, ni kweli tutarudishwa katika umbo jipya? Bali wao wanakanusha kwamba watakutana na Mola wao Mlezi.
11. Sema: Atakufisheni Malaika wa mauti aliye wakilishwa juu yenu; kisha mtarejeshwa kwa Mola wenu Mlezi. (as Sajdah : 7-11)

Huo mimi ushahidi wangu,sasa wewe naomba unithibitishie ya kuwa sisi hatukupuliziwa roho ?

Nipo ....
 

Inaonekana hujui hata aya ni nini ? Soma hayp maelezo humo kuna aya na kuna hadithi za mtume amani ya Allah iwe juu yake.
 
Inaonekana hujui hata aya ni nini ? Soma hayp maelezo humo kuna aya na kuna hadithi za mtume amani ya Allah iwe juu yake.

Zuri unapenda sana mabishano ya kwenye kahawa. Honestly have no time for that.
 

Huyu jamaa bhana haelewi kabisa. Halafu anapenda sana kutoa version of his distorted mind.
That is what you have been encrypted. Use your mind boy, stop tell us what they have taught you. Tell us what you think, unlock that part please.

Mimi I can’t debate with this boy.
 

Hili ni funzo kwenu pia muache kusoma mambo nusu na muwaambie wakubwa zenu wakiwafundisha wawe wanawapa misingi kwanza ya elimu husika kisha ndio wawafundishe na msiwe mnaleta story za Kisayansi ambazo mnashindwa kuzitetea mnapoulizwa maswali.

Tuko pamoja ....
 

Nakusubiria unipe uthibitisho!
 
Mwalimu mzuri Siku zote hatoi majibu bila kuonesha njia jibu kalipata vipi.
pamoja na kutoa majibu na njia lakini si kuna watu wanafeli?? je mwalimu huyo ikiwa ni mwenye uwezo wote wa kuwafanya wanafunzi wote wa faulu pasipo kufelisha ikatokea mwalimu huyo amefelisha robo ya darasa utaona si sahihi kwa wazazi kumlaumu mwalimu huyo??

Hayo inayo ita ni mahubiri ni Darasa kwako mwanafunzi, kama kunaambacho hujakielewa hapo kiseme, kama kuna unacho kipinga kipinge kwa hoja usikimbie mada kwa kuita facts ni 'mahubiri'.
Darasa unalolinadi nilishaona wanafunzi kutoka darasa hilo wote waki score zero, sasa kuna umuhimu gani mimi kwenda darasa hilo?? elimu inayotolewa darasani humo ni full hoax, mtu anafundishwa kua nyoka na binadamu walizungumza nae anakubali tu. Darasa linatoa elimu ya kizushi kua jua huzama matopeni, dunia ni bapa , mara jua huzunguka dunia WTF??? Labda mimi ndio niwe mwalimu wenu wa hilo darasa.
Nirudi kwenye swali ambalo nimeshalijibu....ila majibu umeyapuuza na kuita mahubiri ...
nimeyapuuza kwasababu si majibu
Mwalimu Kabla ya kutoa mtihani huwa darasa lake analijua vyema na wanafunzi wake anawajua vizuri vilaza anawajua

vilaza utawajuaje bila kuwapa mtihani wa majaribio??? utajuaje huyu kilaza na huyu si kilaza bila kuwapima kwa mtihani?

Unaweza ukaniambia nini lengo la mtihani mashuleni??


Wakali wa kuweka banda anawajua. Je ni sawa mwalim asitoe mtihani na badala yake achapishe matokeo vilaza awawekee "o" na Wakali wa darasa awawekee "100", Je mwalim huyu atakuwa katenda haki? Je alichofanya ni Sahihi?
Kwanza mwalimu huyu anauwezo wote na ujuzi wote pamoja na upendo wote? ikiwa kama kimoja kati ya hivyo hana basi haitakua sahihi kuhoji mapungufu yake.

Pili nataka nikuambie kua

mwalimu hana uhakika na wanafunzi wake na ndio maana anatoa mitihani ili kupata uhakika. Kwasababu hao vilaza wako katika hali ya kujifunza na kuna muda wanaweza kuwa juu zaidi ya hapo walipo sasa hapa ili mwalimu atambue kua huyu kapanda daraja yule kashuka inambidi atumie mtihani kama njia ya kujua
Jibu ni hapana
Je Mungu Mmoja, mpenda haki akafanya kama mwalimu huyo itakuwa ni Sahihi?
Jibu ni hapana
nimekuuliza na huyo mwalimu anakua na uwezo wa kuingia akilini mwa mwanafunzi kujua anachokiwaza huyo mwanafunzi?? Mungu huyu unayemfananisha na huyo mwalimu ndiye huyu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote???

Kwanini basi Mwalimu akifanya hayo ni kosa lakini hayo makosa ya Mwalimu unataka yawe ni sahihi kwa Mungu Mmoja kufanya?
sasa jiulize ikiwa kama tu mwalimu asiyekua na uwezo wote ujuzi wote na upendo wote akifelisha wanafunzi kizembe kazi yake inakua matatani, inakuaje mungu mwenye sifa ya ujuzi wote, upendo wote na uweza wa yote kuumba ulimwengu wenye mabaya wakati alikua na uwezo wa kuumba ulimwengu usioruhusu mabaya asishtumiwe kwa ujinga huu?
Mungu mmoja kukuuliza kila ulilofanya na wewe kukiri ndiyo mfumo wa Mahakama zote, iweje mfumo huyo tuukubali, lakini mfumo huo huo ukitimilizwa na Mungu Mmoja unakuwa ni makosa?
mahakama haina uwezo wote na ujuzi wote na ndio maana hata wafungwa waliohukumiwa na mahakama sio wote wenye makosa.

mahakama yenye kuhukumu watu kwa mgongo wa rushwa unataka kuifananisha na mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na muweza wa yote??

Mahakama tumeona mara nyingi imekiri kua "mtuhumiwa aliyeishi gerezani miaka mingi leo hii mahakama imemkuta hana hatia" unataka kuniambia uwezo wa mungu nao ni wakubabaisha kama ilivyo mahakama zetu???
Atheists mnaikubali kweli ikiwa upande wenu, lakini kweli hiyohiyo ikihama upande mwingine munaikana... Mna nini nyinyi?
Haya ita na haya ni mahubiri maana hoja zikiisha kinacho fuata ni 'character assassination '
haya sio mahubiri ila ni ngonjera.[/QUOTE]
 
I always preach and believe death is eminent; if I find a noble cause to die let me nobly die.
 
Uthibitisho upi huo ? Huo ndio uthibitisho wangu,sasa labda wewe upinge kwamba huo si uthibitisho na utoe sababu za kielimu.

Tuendelee....
Hayo mahubiri nataka uthibitisho
 
Hujakanusha kielimu. Kwanza kilichoandikwa umekielewa ?
Hoja za kielimu hukanushwa kielimu

Kukanusha hoja yako kielimu ni kutoitendea haki elimu

Hoja yako inaujinga ndani yake hivyo haipaswi kukanushwa kielimu
 
What is your proof that it is a trusted book ?
You denied a lot of things. books, angles, prophets etc, but all this the source is denying the existence of ONE GOD, so if I can prove to you the Quran is the book of ONE GOD, you will rise this n that which also I will clarify for you, but since denying the book is not the disease which you suffer from but the symptoms of the disease, then lets don't waste each other time on the symptoms while the root of problems left untouched ... lets talk about the root first ... lets talk about ONE GOD
Since your the one who dined the existence of ONE GOD then enlight us WHY SO ...
 
Hoja za kielimu hukanushwa kielimu

Kukanusha hoja yako kielimu ni kutoitendea haki elimu

Hoja yako inaujinga ndani yake hivyo haipaswi kukanushwa kielimu

Kurudi katika asili ndio elimu yenyewe hiyo na mimi nimerudi kwenye asili ns shahidi ulioutaka nimekupa.

Sasa sababu najua huna hoja ya kielimu siku yoyote ukiujua ukweli nistue.
 
[/QUOTE]
Si mahubiri ni ngonjera unataka kuanzisha uzi mwingine wa sifa za mahubiri na ngonjera, kwani hizi hoja umesha jibu zote ... tulia dawa ikuingie acha kuruka ruka, jibu hoja hapo juu moja baada ya nyingine maetheist wenzako wanakutegemea usiwaangushe.
 
Si mahubiri ni ngonjera unataka kuanzisha uzi mwingine wa sifa za mahubiri na ngonjera, kwani hizi hoja umesha jibu zote ... tulia dawa ikuingie acha kuruka ruka, jibu hoja hapo juu moja baada ya nyingine maetheist wenzako wanakutegemea usiwaangushe.

Niko hapa kujibu hoja zilizojengeka katika mifumo inayokubalika ki mantiki na kimsimamo. mpaka saizi sijaona hoja yeyote uliyoweza kuitoa, kama unahisi umeitoa ila haijajibiwa jaribu kuichunguza kama imefit katika vigezo hivyo
 
Kurudi katika asili ndio elimu yenyewe hiyo na mimi nimerudi kwenye asili ns shahidi ulioutaka nimekupa.
ushahidi gani ulionipa?? Ukiambiwa ulete ushahidi utapeleka hizo ngonjera kama ushahidi?

Nikikwambia unipe ushahidi unaosema kuto kula nguruwe ni haram kwa muislam hapo ukinipa aya kutoka kwenye kuran utakua sahihi. Hata mimi kama kuna mtu anabisha kua kuna habari zimeandikwa kwenye vitabu kua jua huzama matopeni nitampa ushahidi wa hayo maandishi ajiridhishe.

Sasa sababu najua huna hoja ya kielimu siku yoyote ukiujua ukweli nistue.
ukweli hata ukiletewa utauelewa kua ni ukweli pasipo akili?

Nilishawahi kukupa fact ya ukweli kua jua si kiumbe hai vipi ulielewa?

Na kama hukuelewa unafikiri utaweza kuyaelewa mambo mengine unayodai nikustue??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…