Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 844
- 1,608
Mtiania wa nafasi ya Ubunge jimbo la Chato Kaskazini Cosmas Makongo apinga matokeo ya kura za maoni ndani ya CCM zilizofanyika siku ya Jana Agost 4 2025, katika jimbo la Chato Kaskazini, adai kulikuwa na vitendo vya Rushwa ya wazi kwa wajumbe.