Corruption SCANDALS at TTCL

Corruption SCANDALS at TTCL

HIVI, HATA MPIGANAJI MAARUFU WA RUSHWA-KIJANA TOKA KIGOMA ZED KAY NAYE YUMO????? KUMBE KULIA LIA KWAKWE NI MIKWARA TUU NAYE NI MPIGA DILI???????????????????
 
Vitu vingi ulivyoongea vina ukweli unaokaribia 2% with 98% misrepresented facts. Nitakupa vichache bullet namba mbili sio kweli CAG amelifanyia kazi sana hilo na lilikfika mpaka Takukuru. Ila sikatai kuwa, kulikuwa na kuzidiwa akili hasa wakati wa uingiaji mikataba kama ilivyokuwa sehemu nyingine.
  • Kweli Celnet/ Celtel ilikuiwa subsiadiary ya TTCL. lakini niwatunga sera waalio fanya hayo maamuzi na wala si TTCL
  • Simu 2000 iliundwa ili kudispose none core assets za TTCL. Kama ilivyokuwa NBC holdings and kampuni nyingine ilichukua none core assets za ATC. Baadaye hizo zote ziliunganishwa na Consolidated Holdings ( jian linaweza kuwa sio sahihi kidogo) Hii ilikuwa ni kusahihisha makosa yaliyofanyika kwa NBC na shirika la sigara ambapo walionunua walikuja wakauza none core assets kulipa serikali anu kurudisha pesa za kukunulia hayo mashirika.
  • Hiyo ya Allan huwezi kuthibitisha popote.
  • Huo wizi wa payroll suala hilo kaulize Takukuru na kwa DCI usiilaumu TTCL
  • Ya Priscilla unamuonea pamoja na kuwa CTO hakuwa na nguvu ya kufanya maamuzi makubwa kama hayo yeye kama yeye
Nawasilisha
 
Kumbe hii scandal ni ya kitambo! Ngoja tuone maelekezo ya mukulu kwa waziri wa fedha
 
Bora ccm itoke tu maana wapiga dili makajanja majambaka majizi yamejazana humo sasa yanajifanya mizalendo na wanamfutia punzi mjomba akimaliza muda wake yanarudi tena kama kawaida Tanzania iwezi kuwa salama mpaka ccm itoke madarakani
 
It is about time.
Sidhani kama kuna Shirika la Umma lisilonuka uvundo wa corruption.

Ila hiyo ya Zitto, kama imening'inizwa tu. Msije mkawa mnazidi kumpaisha na kuprove kuwa anachafuliwa kisiasa.
NO! Huyo jamaa ametajwa mara nyingi. Skandali alizitumia kama mtaji. Kila akijitikisa, watu walifika kumuona ili anyamaze.
Yaonekana ulishakuwa mtindo wa kudumu pale Mjengoni. Kila mtu alikuwa anatafuta mteja wake.
 
Kwanini CTO/CFO wanakua wazungu tu? Kwani tanzania hatuna wataalamu?
Ndugu yangu hii nchi wageni wameifanya shamba la bibi kuna kampuni inaitwa Mantrac Tanzania ltd nafasi zote za juu wameshikilia waarabu tena wengine hawana elimu ya kutosha ni kazi wanazoweza kuzifanya watanzania,uhamiaji wanatakiwa kuamka sasa na Lusaka watu kama hawa
 
Duh madudu ya hali ya juu. Magu ana kazi kubwa kila anapogusa pana uozo nchi ilifikia pabaya sana lazima tumpongeze. Yaani madudu haya Mkapa na JK walikuwa hawawezi kuyakabili.
 
Duh madudu ya hali ya juu. Magu ana kazi kubwa kila anapogusa pana uozo nchi ilifikia pabaya sana lazima tumpongeze. Yaani madudu haya Mkapa na JK walikuwa hawawezi kuyakabili.
Ujenzi Mbona haendi kwenye madudu zaidi?
 
kwa kweli nchi hii kuna madudu mengi sana ambayo mtu akiamua kuyachimba na kuyafukua huenda akazimia mwenyewe na akazikwa humo. mtu anaanza leo kusema Airtel ni mali ya serikali kwa 100% na ushahidi anao. sasa unajiuliza kabla mheshimiwa Rais hajatoa maagizo ya kuanza kufuatilia mtendaji Kama huyu ambaye anasema anaushahidi leo hii siku z nyuma alikuwa anajuwa ni mali ya nani? kuna watendaji wengine ni wa kumulikwa kwa mwanga na jua.
 
Safi sana sasa kila aliyejichukulia mali ya serekeli kijanja ajiandae kurudisha hata wale waliojichukulia nyumba za serekeli kwa kisingizio cha kuuziwa wjipange kuzirudisha.
 
Hii TTCL toka mwanzo walishaiua kwani mitambo/ minara yote ya barabarani ya mawaqsiliano mfano njia ya kutoka Dsm kwenda mikoa ya Kaskazini kupitia Pwani Tanga, Kilimanjaro na Arusha walishainywa na wafanyakazi wake wote kwa kampuni hilo la Celtel ambalo kiongozi wake ni mtu mkuu sana na wakamuuzia mwarabu mwenzie leo kalichukua Mhindi tutapona kweli hapo, ni nani atakayekohoa.

Kweli TAA NZANIaa TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOOOTEE

Subiri ngosha afanye mavituz yake.........!!
Watanyooka tu......chezea sukumaland wewe....!!
 
Uyo jamaa wako hamna kitu

Wewe endelea kusema hakuna kitu huku vyuma vikiendelea kubana.....! Wazee wa kumakinikia wako wapi..?Wapi Mramba Tanesco, wapi Kamu wa TTCL, wapi Mchechu wa NHC, wapi Kitwanga, wapi Muhongo..?wapi Nape, wapi Simbachawene and many more......still coming????
Tutanyooka tu......!!!Na bado......!
 
Kwa kweli nchi hii inahitaji maombi maalum sana uchafu ni mwingi sana kiasi kwamba nikisikia wapumbavu fulani wanamkosoa rais ambaye amejitoa kafara kubwa hivi nawahurumia.
 
Back
Top Bottom