ELI-91
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 3,583
- 9,666
Unataka kusema kua waziri hana uwezo wa kumsomesha mwanae SA hadi aingie mikataba ya kuuza shirika ili hao wezi wamsaidie kumfadhiri mwanae?? It doesn't make any sense, there is more than that!!TTCL alieifisadi sana ni MWANDOSYA...huyu ndio aliiuza kifisadi mtoto wake akapewa offa ya kusoma afrika kusini...