Kama sikosei mwaka Jana, 2020 vijana wa Mujibu wa Sheria waliokuwa JKT walirudishwa nyumbani mapema baada ya Corona kupamba Moto Kama ilivyo Sasa.
Mashauri Kama ilivyofanyika mwaka Jana, 2020, vijana warudishwe nyumbani kupunguza msongamano na kuwaepusha na maambukizi ya Corona.
Mashauri Kama ilivyofanyika mwaka Jana, 2020, vijana warudishwe nyumbani kupunguza msongamano na kuwaepusha na maambukizi ya Corona.