Corona umeanzia China sote tukiusikia na kufahamu unaambukizwa vipi na namna gani unaweza kutufikia. Tulijua namna gani tunaweza kufanya usitufikie.
Nchi kama Uganda hadi sasa wako salama na wamejizatiti haswa usiwafikie. Hiyo si ajali bali ni utashi.
Japo tulijua: Sisi na viongozi wetu hatukufanya lililostahili na leo tuko hapa tukiwa na wagonjwa waliothibitiswa sita na mamia wa kufuatiliwa.
Dunia nzima ulikoingia kasoro ya China, wagonjwa wanaendelea kuongezeka, (Vifo vinaongezeka), hali kadhalika wa kufuatiliwa nao wanaendelea kuongezeka.
Yaani kwa ufupi kunazidi kuwa rojo juu rojo.
China kaushinda vipi? Huu nao ni ukweli mwingine ambao sisi bado hatutaki kuuona wala kuuzingatia.
China kaushinda ugonjwa huu ndani ya miezi 3. Waliopania kuushinda wanajiwekea lengo hilo hilo la miezi 3 kwa utaratibu ule ule wa China.
Marekani, Uingereza, Ujerumani na wote waliodhamiria kwa dhati wako kwenye njia hizo hizo za Mchina:
Jimbo la California latangaza amri ya kukaa ndani kudhibiti
Boris Johnson: UK can ‘turn the tide’ on coronavirus by June
French President Macron says 'we are at war' as he orders lockdown | DW | 16.03.2020
Bila kuamuru watu wote kusalia majumbani, ugonjwa huu utakuwa bado upo upo sana nasi na utatutesa kweli kweli.
Serikali tutendeeni haki kwa kuwataka watu wote wasalie majumbani japo kwa siku 14 kwa kuanzia sote tuupime upepo unaenda wapi.
Huu ndiyo ukweli mchungu, tusipousema wazi wazi kama hivi tunakuwa hatujitendei haki sisi wenyewe.
Nchi kama Uganda hadi sasa wako salama na wamejizatiti haswa usiwafikie. Hiyo si ajali bali ni utashi.
Japo tulijua: Sisi na viongozi wetu hatukufanya lililostahili na leo tuko hapa tukiwa na wagonjwa waliothibitiswa sita na mamia wa kufuatiliwa.
Dunia nzima ulikoingia kasoro ya China, wagonjwa wanaendelea kuongezeka, (Vifo vinaongezeka), hali kadhalika wa kufuatiliwa nao wanaendelea kuongezeka.
Yaani kwa ufupi kunazidi kuwa rojo juu rojo.
China kaushinda vipi? Huu nao ni ukweli mwingine ambao sisi bado hatutaki kuuona wala kuuzingatia.
China kaushinda ugonjwa huu ndani ya miezi 3. Waliopania kuushinda wanajiwekea lengo hilo hilo la miezi 3 kwa utaratibu ule ule wa China.
Marekani, Uingereza, Ujerumani na wote waliodhamiria kwa dhati wako kwenye njia hizo hizo za Mchina:
Jimbo la California latangaza amri ya kukaa ndani kudhibiti
Boris Johnson: UK can ‘turn the tide’ on coronavirus by June
French President Macron says 'we are at war' as he orders lockdown | DW | 16.03.2020
Bila kuamuru watu wote kusalia majumbani, ugonjwa huu utakuwa bado upo upo sana nasi na utatutesa kweli kweli.
Serikali tutendeeni haki kwa kuwataka watu wote wasalie majumbani japo kwa siku 14 kwa kuanzia sote tuupime upepo unaenda wapi.
Huu ndiyo ukweli mchungu, tusipousema wazi wazi kama hivi tunakuwa hatujitendei haki sisi wenyewe.