Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Sasa nani kakuamulia,we tuliza mshono utaona chanjo zitakavyoisha chap chap!Huwezi kuniamulia ^key-two,^ sawa!??? Hata Bi Mkubwa kasema chanjo mwendokasi ni hiari!!!
Unaweza ukawa unapiga kelele hapa ila chanjo ikifika mtaani kwako ukawa mstari wa mbele kabisa!