Corona na yaliyojificha nyuma ya pazia

Corona na yaliyojificha nyuma ya pazia

Atubela

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
749
Reaction score
854
Ukiiangalia kwa haraka haraka utaona kama ni ugonjwa mfano malaria au TB, kumbe ni zaidi ya tufikiliayo waafrika na haswa mataifa ya dunia ya 3

Huu ni zaidi ya ugonjwa tuufikiliavyo kuna watu washapanga yao tena kwa kuwatumia viongozi wakuu wa nchi zilizo maskini na ambazo bajeti zao kwa asilimia kubwa zinategemea misaada toka mataifa ya ulaya

Muda ukifika utaongea na maandishi uishi milele

Bahada ya corona kupita au ndio chanjo na tiba kupatikana nchi zetu zitakabiliwa na anguko kuu la uchumi, na kupelekea kuomba misaada/madeni kutoka huko huko mataifa makubwa.

Mipango ya kupiga marufuku mikusanyiko, itaingilia uhuru wa kuabudu kwa bahadhi ya dini, mfano ibada ya hijja inayofanyika kila mwaka na kukusanya waumini zaidi ya mamilioni kutoka ulimwenguni kote.

Propoganda za vyombo vya habari vya magharibi juu ya maambukizi zaidi kwa nchi za Afrika na kutaka kuwatia hofu zaidi raia wa nchi ambazo hawatoa katazo la kuzuhia raia wasitoke nje.

Kwa ujumla hii ni mipango mikakati na tunacheza ngoma tusiyoijua mwisho wake na ubaya wake.

Nikiangalia nchini Kenya wale wananchi wanaopigwa na polisi kisa wamechelewa kurudi nyumbani na saa moja imewakuta njiani inadhihirisha jinsi gani viongozi wetu wasivyojua wanachokisimamia.

Uganda raia kulazimishwa kutembea kwa miguu pasipo kuangalia umbali anapoenda bahada ya katozo la mabasi ya umma kubeba abiria.

Rwanda kuwapiga risasi raia wake bahada ya kukaidi amri ya kutoka nje.

Ni heri ufe kwa risasi kuliko kufa kwa njaa kwa mateso.

Sio kila jambo kuiga wazungu

Mh Magufuli baada ya kuwaruhusu raia wake wafanye kazi, wengi wameubeza uamuzi ule, lakini time will tell, anaejua maisha ya watanzania ni kiongozi wetu na si mtu mwingine.

Ndio maana wamejifanya kuachia zile pesa za msaada Tr 1.3 haraka ili kumuingiza kwenye target yao ya lock-down walau wiki moja tu watanzania tufie ndani.
 
Ukiiangalia kwa haraka haraka utaona kama ni ugonjwa mfano malaria au TB, kumbe ni zaidi ya tufikiliayo waafrika na haswa mataifa ya dunia ya 3
Huu ni zaidi ya ugonjwa tuufikiliavyo kuna watu washapanga yao tena kwa kuwatumia viongozi wakuu wa nchi zilizomaskini na ambazo bajeti zao kwa asilimia kubwa zinategemea misaada toka mataifa ya ulaya

Muda ukifika utaongea na maandishi uishi milele
Bahada ya corona kupita au ndio chanjo na tiba kupatikana nchi zetu zitakabiliwa na anguko kuu la uchumi, na kupelekea kuomba misaada/madeni kutoka huko huko mataifa makubwa.
Mipango ya kupiga marufuku mikusanyiko, itaingilia uhuru wa kuabudu kwa bahadhi ya dini, mfano ibada ya hijja inayofanyika kila mwaka na kukusanya waumini zaidi ya mamilioni kutoka ulimwenguni kote.
Propoganda za vyombo vya habari vya magharibi juu ya maambukizi zaidi kwa nchi za Afrika na kutaka kuwatia hofu zaidi raia wa nchi ambazo hawatoa katazo la kuzuhia raia wasitoke nje

Kwa ujumla hii ni mipango mikakati na tunacheza ngoma tusiyoijua mwisho wake na ubaya wake

Nikiangalia nchini Kenya wale wananchi wanaopigwa na polisi kisa wamechelewa kurudi nyumbani na saa moja imewakuta njiani inadhihirisha jinsi gani viongozi wetu wasivyojua wanachokisimamia.
Uganda raia kulazimishwa kutembea kwa miguu pasipo kuangalia umbali anapoenda bahada ya katozo la mabasi ya umma kubeba abiria.
Rwanda kuwapiga risasi raia wake bahada ya kukaidi amri ya kutoka nje
Ni heri ufe kwa risasi kuliko kufa kwa njaa kwa mateso

Sio kila jambo kuiga wazungu
Mh Magufuli bahada ya kuwaruhusu raia wake wafanye kazi, wengi wameubeza uamuzi ule, lakini time will tell, anaejua maisha ya watanzania ni kiongozi wetu na si mtu mwingine,
Ndio maana wamejifanya kuachia zile pesa za msaada Tr 1.3 haraka ili kumuingiza kwenye tagget yao a lock-down walau wiki moja tu watanzania tufie ndani.
ficha ujinga wako wewe kwa kitu gani tunachowapa watuundie njama kubwa hivi hizi dini mkulupuko zinaharibu watu akili yaani mitaifa mikubwa km USA inaingia hasara ya matrilioni ya dola huko wewe unatuambia ni njama zidi yetu basi hata maelfu wanaokufa duniani huwaoni...chukua tahadhali korona ni balaa.
 
Daaa aisee hiii mitazamo imezidi....

Hao US wanaokufa je?
Viongozi wakubwa na watu maarufu huko ulaya wanaoupata je?
Unadai sisi ndio walengwa, iweje maambukizi yazidi/yaanze kwao ndio yaje kwetu taratibu?.

Au ndio unataka useme tunadanganywa?

Hakuna kitu kinapumbaza kama conspiracy theories...

Kuna mambo mengi sana tunawalaumu wazungu.....
Kumbe n mambo yaliotokea naturally, lkn ss kila kitu tatzo basi chanzo ni mzungu.

Magonjwa tunaletewa na Wazungu..
Vita tunaletewa na wazungu...
Umaskini tunatengenezewa na wazung....
Vifo tunasababishiwa na wazungu....
Viongozi tunawekewa na wazungu......
Uwezo mdg wa kufikiri, tumesababishiwa na wazungu

Yaani hakuna matatizo ya kiasili africa...
Yote tunaletewa na wazungu....eti baadae waje waishi africa..



Ufinyu wetu wa uwezo wa kupambanua mambo ndio chanzo kikubwa cha sisi kua nyuma na ndio hicho hicho chanzo cha kuamini tunanyonywa....
Kuna watu wanaamini kbsa hata akili finyu tulizonazo basi wazungu ndio wametufubaza...
 
Mnaanza kutafuta sababu sasa baada ya kukataa lock down, si mlisema msipangiwe na nyie ni vidume hamtaki kuiga the rest tulieni kimyaaa acheni kuanza kutafuta sababu ya ku justify ubishi wenu na ujeuri. Huna wa kumsingizia hapa. Omba Mungu kofi lililochapa china na ulaya lisifike Afrika, baaasi.
 
Acha tupambane kwanza na uhai hayo mambo ya kiuchumi na mengine tutajadili tukipona kwanza saiz kitu muhimu ni kujikinga tu nasio kingine unawaza baadaye wakati huna uwakika wa kuishi kesho!
 
ni kweli kabisa mkuu, soon itakuja chanjo na tutaambiwa kila mtu lazima achanjwe, hapo ndio balaa litapokuja
 
Let's just pray for the best 😏😏

20200401_195253.jpg
 
ficha ujinga wako wewe kwa kitu gani tunachowapa watuundie njama kubwa hivi hizi dini mkulupuko zinaharibu watu akili yaani mitaifa mikubwa km USA inaingia hasara ya matrilioni ya dola huko wewe unatuambia ni njama zidi yetu basi hata maelfu wanaokufa duniani huwaoni...chukua tahadhali korona ni balaa.
Wewe kwakuwa IQ yako ndogo utafikiri Mmarekani anakupenda sana mpaka anakupa msaada?
Endeleza fikra hizo utakufa maskini
 
Daaa aisee hiii mitazamo imezidi....

Hao US wanaokufa je?
Viongozi wakubwa na watu maarufu huko ulaya wanaoupata je?
Unadai sisi ndio walengwa, iweje maambukizi yazidi/yaanze kwao ndio yaje kwetu taratibu?.

Au ndio unataka useme tunadanganywa?

Hakuna kitu kinapumbaza kama conspiracy theories...

Kuna mambo mengi sana tunawalaumu wazungu.....
Kumbe n mambo yaliotokea naturally, lkn ss kila kitu tatzo basi chanzo ni mzungu.

Magonjwa tunaletewa na Wazungu..
Vita tunaletewa na wazungu...
Umaskini tunatengenezewa na wazung....
Vifo tunasababishiwa na wazungu....
Viongozi tunawekewa na wazungu......
Uwezo mdg wa kufikiri, tumesababishiwa na wazungu

Yaani hakuna matatizo ya kiasili africa...
Yote tunaletewa na wazungu....eti baadae waje waishi africa..



Ufinyu wetu wa uwezo wa kupambanua mambo ndio chanzo kikubwa cha sisi kua nyuma na ndio hicho hicho chanzo cha kuamini tunanyonywa....
Kuna watu wanaamini kbsa hata akili finyu tulizonazo basi wazungu ndio wametufubaza...
Fungua akili yako mkuu hizo ni namba tu, wanatumia vyombo vya habari kukupa hizo takwimu wewe mtu wa dunia ya 3, ili ujue kuna idadi kubwa ya watu wanakufa huko.
Ndio maana wamekwambia wiki 3 zinazokuja zitakuwa ngumu kwao
 
BAHADA ya sisi watanzania kuathirika uje tena na uzi...
Trump aliuita CHINESE VIRUS, alisema uzushi sasa hivi anataka madaktari hata kutokea shithole countries...

Hata Bashite kakuzidi akili...huu ni mtizamo binafsi kama wako kuhusu Corona...

Everyday is Saturday................... 😎
 
Ukiiangalia kwa haraka haraka utaona kama ni ugonjwa mfano malaria au TB, kumbe ni zaidi ya tufikiliayo waafrika na haswa mataifa ya dunia ya 3

Huu ni zaidi ya ugonjwa tuufikiliavyo kuna watu washapanga yao tena kwa kuwatumia viongozi wakuu wa nchi zilizo maskini na ambazo bajeti zao kwa asilimia kubwa zinategemea misaada toka mataifa ya ulaya

Muda ukifika utaongea na maandishi uishi milele

Bahada ya corona kupita au ndio chanjo na tiba kupatikana nchi zetu zitakabiliwa na anguko kuu la uchumi, na kupelekea kuomba misaada/madeni kutoka huko huko mataifa makubwa.

Mipango ya kupiga marufuku mikusanyiko, itaingilia uhuru wa kuabudu kwa bahadhi ya dini, mfano ibada ya hijja inayofanyika kila mwaka na kukusanya waumini zaidi ya mamilioni kutoka ulimwenguni kote.

Propoganda za vyombo vya habari vya magharibi juu ya maambukizi zaidi kwa nchi za Afrika na kutaka kuwatia hofu zaidi raia wa nchi ambazo hawatoa katazo la kuzuhia raia wasitoke nje.

Kwa ujumla hii ni mipango mikakati na tunacheza ngoma tusiyoijua mwisho wake na ubaya wake.

Nikiangalia nchini Kenya wale wananchi wanaopigwa na polisi kisa wamechelewa kurudi nyumbani na saa moja imewakuta njiani inadhihirisha jinsi gani viongozi wetu wasivyojua wanachokisimamia.

Uganda raia kulazimishwa kutembea kwa miguu pasipo kuangalia umbali anapoenda bahada ya katozo la mabasi ya umma kubeba abiria.

Rwanda kuwapiga risasi raia wake bahada ya kukaidi amri ya kutoka nje.

Ni heri ufe kwa risasi kuliko kufa kwa njaa kwa mateso.

Sio kila jambo kuiga wazungu

Mh Magufuli baada ya kuwaruhusu raia wake wafanye kazi, wengi wameubeza uamuzi ule, lakini time will tell, anaejua maisha ya watanzania ni kiongozi wetu na si mtu mwingine.

Ndio maana wamejifanya kuachia zile pesa za msaada Tr 1.3 haraka ili kumuingiza kwenye target yao ya lock-down walau wiki moja tu watanzania tufie ndani.
Una matatizo ya afya ya akili, yani unawaza kama bashite, bisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BAHADA ya sisi watanzania kuathirika uje tena na uzi...
Trump aliuita CHINESE VIRUS, alisema uzushi sasa hivi anataka madaktari hata kutokea shithole countries...

Hata Bashite kakuzidi akili...huu ni mtizamo binafsi kama wako kuhusu Corona...

Everyday is Saturday................... 😎
IQ yako ndogo Subiria Tangazo kutoka Serikali ya Saudia itakapotoka kuhusu kuhairisha ibada ya hijja mwaka huu na hapo taharuki itazuka duniani kote, na huku marekani ikiiunga mkono tamko hilo, niishie hapo utayakumbuka maandishi haya.
Kuna kitu kinatafutwa zaidi ya corona
 
Ukiiangalia kwa haraka haraka utaona kama ni ugonjwa mfano malaria au TB, kumbe ni zaidi ya tufikiliayo waafrika na haswa mataifa ya dunia ya 3

Huu ni zaidi ya ugonjwa tuufikiliavyo kuna watu washapanga yao tena kwa kuwatumia viongozi wakuu wa nchi zilizo maskini na ambazo bajeti zao kwa asilimia kubwa zinategemea misaada toka mataifa ya ulaya

Muda ukifika utaongea na maandishi uishi milele

Bahada ya corona kupita au ndio chanjo na tiba kupatikana nchi zetu zitakabiliwa na anguko kuu la uchumi, na kupelekea kuomba misaada/madeni kutoka huko huko mataifa makubwa.

Mipango ya kupiga marufuku mikusanyiko, itaingilia uhuru wa kuabudu kwa bahadhi ya dini, mfano ibada ya hijja inayofanyika kila mwaka na kukusanya waumini zaidi ya mamilioni kutoka ulimwenguni kote.

Propoganda za vyombo vya habari vya magharibi juu ya maambukizi zaidi kwa nchi za Afrika na kutaka kuwatia hofu zaidi raia wa nchi ambazo hawatoa katazo la kuzuhia raia wasitoke nje.

Kwa ujumla hii ni mipango mikakati na tunacheza ngoma tusiyoijua mwisho wake na ubaya wake.

Nikiangalia nchini Kenya wale wananchi wanaopigwa na polisi kisa wamechelewa kurudi nyumbani na saa moja imewakuta njiani inadhihirisha jinsi gani viongozi wetu wasivyojua wanachokisimamia.

Uganda raia kulazimishwa kutembea kwa miguu pasipo kuangalia umbali anapoenda bahada ya katozo la mabasi ya umma kubeba abiria.

Rwanda kuwapiga risasi raia wake bahada ya kukaidi amri ya kutoka nje.

Ni heri ufe kwa risasi kuliko kufa kwa njaa kwa mateso.

Sio kila jambo kuiga wazungu

Mh Magufuli baada ya kuwaruhusu raia wake wafanye kazi, wengi wameubeza uamuzi ule, lakini time will tell, anaejua maisha ya watanzania ni kiongozi wetu na si mtu mwingine.

Ndio maana wamejifanya kuachia zile pesa za msaada Tr 1.3 haraka ili kumuingiza kwenye target yao ya lock-down walau wiki moja tu watanzania tufie ndani.
Lakini akili za wa Africa hawakosagi visingizio vya kulogwa kufitinishwa wivu kuibiwa nk........ mtu yoyote ambaye iko informed na ni msomi muelewa anajua tu korona is beyond capability and understanding of the white ni janga ambalo limewakuta offguard US na UK wako kwenye total panic hawajui what next........ila ujinga wa Africa ni gharama kubwa kweli mtu kudhani kama hivo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiongee sana
Weka akiba ya maneno
Ukiiangalia kwa haraka haraka utaona kama ni ugonjwa mfano malaria au TB, kumbe ni zaidi ya tufikiliayo waafrika na haswa mataifa ya dunia ya 3

Huu ni zaidi ya ugonjwa tuufikiliavyo kuna watu washapanga yao tena kwa kuwatumia viongozi wakuu wa nchi zilizo maskini na ambazo bajeti zao kwa asilimia kubwa zinategemea misaada toka mataifa ya ulaya

Muda ukifika utaongea na maandishi uishi milele

Bahada ya corona kupita au ndio chanjo na tiba kupatikana nchi zetu zitakabiliwa na anguko kuu la uchumi, na kupelekea kuomba misaada/madeni kutoka huko huko mataifa makubwa.

Mipango ya kupiga marufuku mikusanyiko, itaingilia uhuru wa kuabudu kwa bahadhi ya dini, mfano ibada ya hijja inayofanyika kila mwaka na kukusanya waumini zaidi ya mamilioni kutoka ulimwenguni kote.

Propoganda za vyombo vya habari vya magharibi juu ya maambukizi zaidi kwa nchi za Afrika na kutaka kuwatia hofu zaidi raia wa nchi ambazo hawatoa katazo la kuzuhia raia wasitoke nje.

Kwa ujumla hii ni mipango mikakati na tunacheza ngoma tusiyoijua mwisho wake na ubaya wake.

Nikiangalia nchini Kenya wale wananchi wanaopigwa na polisi kisa wamechelewa kurudi nyumbani na saa moja imewakuta njiani inadhihirisha jinsi gani viongozi wetu wasivyojua wanachokisimamia.

Uganda raia kulazimishwa kutembea kwa miguu pasipo kuangalia umbali anapoenda bahada ya katozo la mabasi ya umma kubeba abiria.

Rwanda kuwapiga risasi raia wake bahada ya kukaidi amri ya kutoka nje.

Ni heri ufe kwa risasi kuliko kufa kwa njaa kwa mateso.

Sio kila jambo kuiga wazungu

Mh Magufuli baada ya kuwaruhusu raia wake wafanye kazi, wengi wameubeza uamuzi ule, lakini time will tell, anaejua maisha ya watanzania ni kiongozi wetu na si mtu mwingine.

Ndio maana wamejifanya kuachia zile pesa za msaada Tr 1.3 haraka ili kumuingiza kwenye target yao ya lock-down walau wiki moja tu watanzania tufie ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom