Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,900
COLLORA
1.5Mil
0683011003
iko dsm
1.5Mil
0683011003
iko dsm
DahhhhhhLaki tatu vipi?
Tabia mbayaLaki tatu vipi?
Unanishaurije ambaye sina hela ni gari sahihi au linahitaji mfuko uwe sawa sawaGari yangu ya kwanza kabisa kumiliki hii miaka hiyo ya 2009! Halafu kitu kilikuwa ni manual gear box, 4E engine!!
Laki tatu poa, vipi kwema?Laki tatu vipi?
tatizo sio kutoa..ata laki 2 sitoi
Chukua mchuma huo! Hakuna fundi ndani ya nchi hii asiyeweza kuitengeza hiyo gari!!Unanishaurije ambaye sina hela ni gari sahihi au linahitaji mfuko uwe sawa sawa
Hahaa kwamba kibubu kiwe kimejaa muda woteChukua mchuma huo! Hakuna fundi ndani ya nchi hii asiyeweza kuitengeza hiyo gari!!
Ila usisahau tu huu msemo usemao 'gari ni mke wa pili'
Vipi ulaji wake wa mafuta na upatikanaji wa spare parts hapa Bongo? Au mpaka kuagiza nje?COLLORA
1.5Mil
0683011003
iko dsm
View attachment 1870156View attachment 1870157View attachment 1870158View attachment 1870159View attachment 1870160
Vipi ulaji wake wa mafuta na upatikanaji wa spare parts hapa Bongo? Au mpaka kuagiza nje?
uliiuza?Gari yangu ya kwanza kabisa kumiliki hii miaka hiyo ya 2009! Halafu kitu kilikuwa ni manual gear box, 4E engine!!
Niliiuza tu kama screpa miaka kadhaa mbele! Maana niliisajili kama taxi (kwa miaka ile taxi zilikuwa bado zinalipa).uliiuza?
vipi alipona??? Hope ulijifunza kituNiliiuza tu kama screpa miaka kadhaa mbele! Maana niliisajili kama taxi (kwa miaka ile taxi zilikuwa bado zinalipa).
Kwa bahati mbaya Mbulukenge niliyemkabidhi, alimpa deiwaka asiye na uzoefu! Na hizo gari zinavutia mbele, hivyo ikiwa haina abiria inayumba kweli kweli ukiendesha spidi ya kuanzia 70 kwenye barabara za vumbi
Akaipigisha mzinga wa ukweli!!