Bata Boy Official
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 259
- 308
Oya wakuu niaje, Kama kawa?
Aisee kama mdau wa Corner Bar nimeumia sana baada ya kwenda pale na kukuta kumebadilishwa kuanzia muonekano mpaka burudani zilizokuwa zinatolewa mfano kibao kata nk.
Sijapenda sijapenda, yaani baada ya kuona vile nikaondoka tu chap. Sasa wadau kwa wanaofahamuu machaka mapya ambayo yana amsha amsha kama za cornern bar ya sinza.
NB: Kama hauna jibu linalohusiana na uzi wangu pita hivii, staki shobo.
Aisee kama mdau wa Corner Bar nimeumia sana baada ya kwenda pale na kukuta kumebadilishwa kuanzia muonekano mpaka burudani zilizokuwa zinatolewa mfano kibao kata nk.
Sijapenda sijapenda, yaani baada ya kuona vile nikaondoka tu chap. Sasa wadau kwa wanaofahamuu machaka mapya ambayo yana amsha amsha kama za cornern bar ya sinza.
NB: Kama hauna jibu linalohusiana na uzi wangu pita hivii, staki shobo.