ahsante sana utajuaje Hard disk ipo slow? na kama ipo slow unaeza kuifanya kuwa faster kivipihakuna hata ushindani hapo, core i5 ni nzuri zaidi (most of time)
hakikisha tu hio i5 sio 1st gen maana hio haina tofauti na core 2.
pia kustack stack sio cpu tu inayosababisha, kwa ufupi core 2 duo mambo mengi haitasababisha computer istack.
hard disk ikiwa slow, ram ikiwa ndogo pia husababisha computer kustack.
unaifanya faster kwa kununua nyengine,ahsante sana utajuaje Hard disk ipo slow? na kama ipo slow unaeza kuifanya kuwa faster kivipi
nimeclick sasa najuaje kwamba flani ndo inakwamisha bossunaifanya faster kwa kununua nyengine,
utaijua kama ipo slow kwa kuangalia task manager au resource monitor pale unapohisi pc ipo slow.
ukiona tu pc ipo slow we fungua task manager kisha angalia cpu, ram na hdd uone kipi ndio kinakukwamisha.
kufungua task manager right click kwenye taskbar kisha chagua task manager au bonyeza kwa mpigo ctrl na alt na delete.
angalia hii pichanimeclick sasa najuaje kwamba flani ndo inakwamisha boss
hapo tatizo ni ram mkuu, ina gb ngapi hio mashine? unaona ram inaenda hadi 83% hapo lazma ikwame kwame.
hapo kwenye asilimia za memory pa click na mouse, itakuonesha ni process zipi zinakula sana ram,hio ram ni 4GB