Contraceptives

Hii ndio tulikuwa tunatumia kabla ya kupata mtoto ,lakini sasa hivi nanyonyesha na sipati siku zangu ndo maana NFP kama CALENDA,kuchunguza joto la mwili na ute zinakuwa options gumu .kitu hatari hapa siwezi kujiamini ati kwa vile sioni siku zangu basi ni contraceptive tosha maana nilipata siku zangu once halafu zikatoweka ,ninajua next ovolution itatokea kabla sijaona siku zangu.Hii ina maana nikitegemee kunyonyesha tu kama kinga ya mimba the next thing I will realise is pregnanancy again!!!!!!!.No jamani hatuhitaji mtoto mwingine mapema hivyo na pia tunahitaji kufurahia ndoa yetu .Wanandoa wenzagu nipeni uzoefu wenu katika homonal contraceptive au Kama kuna altenative NFP mnayojua kwa mama anayenyonyesha anayoweza kutumia ikiwa hapati siku zake .

Hii ni challenge kwetu tusaidieni tafadhali
Kama hivyo basi hii ya calendar ww haikufai maana unaweza pata mimba tena. Pia shost kama unataka uje kuzaa tena usijaribu kutumia sindano sio nzuri maana nimewaona watu waliotumia wanaanza kuhangaika baadaye kutafuta mtoto mwingine.
Mie ningekushauri tu kwanza zaa idadi ya watoto unaotaka kwa sasa angalau hata 2, halafu ndio uanze kutumia hizo contraceptive.
 
Sorry..kwenda nje kdogo ya topic...ivi vidonge vya kutoa mimba vinafaa kutumika kama mimba ikiwa na umri gani??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom