I like that you are the best bro thank you alot.Battery itakuwa na 12V kama kawaida. Kinachobadilika ni CURRENT (Ampere Hour - AH).
Unahitaji kutumia 100W, kwa masaa 72.
----------------------------
100Watts = 0.1KiloWatts
0.1KW x 1Hour = 0.1KwH
Kwa hivyo kwa kila saa 1 utatumia 0.1KwH
Halafu..
0.1KwH x 72 =7.2KwH
Hivyo Kwa saa 72 utatumia 7.2KwH
Sasa tuiridishe hiyo KiloWatts Hour irudi kwenye power ya battery.
Itakuwa:
7.2KwH x 1000W=7200Watts
Kutoka kwenye formula
Watt(p)=Volt(v) x Current(I)
Basi 7200=12 x I
I=7200÷12
=600A
Kwa hiyo unahitaji battery ya N600 , kwa 12V
Mkuu hiyo N huwa inamaanisha nini?Battery itakuwa na 12V kama kawaida. Kinachobadilika ni CURRENT (Ampere Hour - AH).
Unahitaji kutumia 100W, kwa masaa 72.
----------------------------
100Watts = 0.1KiloWatts
0.1KW x 1Hour = 0.1KwH
Kwa hivyo kwa kila saa 1 utatumia 0.1KwH
Halafu..
0.1KwH x 72 =7.2KwH
Hivyo Kwa saa 72 utatumia 7.2KwH
Sasa tuiridishe hiyo KiloWatts Hour irudi kwenye power ya battery.
Itakuwa:
7.2KwH x 1000W=7200Watts
Kutoka kwenye formula
Watt(p)=Volt(v) x Current(I)
Basi 7200=12 x I
I=7200÷12
=600A
Kwa hiyo unahitaji battery ya N600 , kwa 12V
Bettry itabidi iwe nazaidi ya 600Ah,kwa sababu Kuna efficiency factor,Kama 80%,pili Kama utatumia ya 600Ah,tu baada ya siku tatu hii betri itakuwa empty kabisa(depth of discharge),sasa hapa inabidi uchague aina ya betri ambayo unaweza kuidischsrge mpaka let's say up to 50% ya uwezo wake,kwahiyo ukiweka hizo factors mbili,in real life situation inabidi utafute ya saize,600Ah/0.5*0.8,=1500AH,Battery itakuwa na 12V kama kawaida. Kinachobadilika ni CURRENT (Ampere Hour - AH).
Unahitaji kutumia 100W, kwa masaa 72.
----------------------------
100Watts = 0.1KiloWatts
0.1KW x 1Hour = 0.1KwH
Kwa hivyo kwa kila saa 1 utatumia 0.1KwH
Halafu..
0.1KwH x 72 =7.2KwH
Hivyo Kwa saa 72 utatumia 7.2KwH
Sasa tuiridishe hiyo KiloWatts Hour irudi kwenye power ya battery.
Itakuwa:
7.2KwH x 1000W=7200Watts
Kutoka kwenye formula
Watt(p)=Volt(v) x Current(I)
Basi 7200=12 x I
I=7200÷12
=600A
Kwa hiyo unahitaji battery ya N600 , kwa 12V
Noted SirBettry itabidi iwe nazaidi ya 600Ah,kwa sababu Kuna efficiency factor,Kama 80%,pili Kama utatumia ya 600Ah,tu baada ya siku tatu hii betri itakuwa empty kabisa(depth of discharge),sasa hapa inabidi uchague aina ya betri ambayo unaweza kuidischsrge mpaka let's say up to 50% ya uwezo wake,kwahiyo ukiweka hizo factors mbili,in real life situation inabidi utafute ya saize,600Ah/0.5*0.8,=1500AH,
Saizi ya betri itabidi iwe 1500AH,
Maana yake 20%(300AH)itapotea katika saketi,utabakiwa na 1200Ah,then baada ya siku tatu utatumia 600AH,na betri yako itabaki na 600AH,Kama akiba ili isife idumu zaidi.
Nahitaji kujua betri lenye ukubwa gani litaweza kukaa na chaji masaa 72... ikiwa matumizi ya kifaa changu kina watt 100.
N inamaanisha Ampere Hour (AH). Ambapo ni kiasi cha Ampere kwa saa moja kinachoweza kutoka kwenye battery.Mkuu hiyo N huwa inamaanisha nini?
Kweli mkuu, efficiency haiwezi kuwa 100% kwa hivyo lazima battery iwe na ziadaBettry itabidi iwe nazaidi ya 600Ah,kwa sababu Kuna efficiency factor,Kama 80%,pili Kama utatumia ya 600Ah,tu baada ya siku tatu hii betri itakuwa empty kabisa(depth of discharge),sasa hapa inabidi uchague aina ya betri ambayo unaweza kuidischsrge mpaka let's say up to 50% ya uwezo wake,kwahiyo ukiweka hizo factors mbili,in real life situation inabidi utafute ya saize,600Ah/0.5*0.8,=1500AH,
Saizi ya betri itabidi iwe 1500AH,
Maana yake 20%(300AH)itapotea katika saketi,utabakiwa na 1200Ah,then baada ya siku tatu utatumia 600AH,na betri yako itabaki na 600AH,Kama akiba ili isife idumu zaidi.
Mtaalamu heshima Kwako mkuu. Naomba msaada wako wa kitaalamu kaka. Je ninaweza kuOpt kutumia deep frier ya umeme lakini instead ya umeme wa tanesco nikatumia umeme wa solar? Ni zipi advantage disadvantage za option hii au changamoto zake ukilinganisha na matumizi ya deep frier ya gas? Idea niko nayo ni kutumia solar kwa ajili ya deep frier na ile griller ya chapati ktk biashara yangu ya cafe. Lakini kwanza ninahitaji kupata muongozo wa kitaalamu. Natanguliza shukran zangu na ubarikiwe snBattery itakuwa na 12V kama kawaida. Kinachobadilika ni CURRENT (Ampere Hour - AH).
Unahitaji kutumia 100W, kwa masaa 72.
----------------------------
100Watts = 0.1KiloWatts
0.1KW x 1Hour = 0.1KwH
Kwa hivyo kwa kila saa 1 utatumia 0.1KwH
Halafu..
0.1KwH x 72 =7.2KwH
Hivyo Kwa saa 72 utatumia 7.2KwH
Sasa tuiridishe hiyo KiloWatts Hour irudi kwenye power ya battery.
Itakuwa:
7.2KwH x 1000W=7200Watts
Kutoka kwenye formula
Watt(p)=Volt(v) x Current(I)
Basi 7200=12 x I
I=7200÷12
=600A
Kwa hiyo unahitaji battery ya N600 , kwa 12V
Elezo limeshibaBattery itakuwa na 12V kama kawaida. Kinachobadilika ni CURRENT (Ampere Hour - AH).
Unahitaji kutumia 100W, kwa masaa 72.
----------------------------
100Watts = 0.1KiloWatts
0.1KW x 1Hour = 0.1KwH
Kwa hivyo kwa kila saa 1 utatumia 0.1KwH
Halafu..
0.1KwH x 72 =7.2KwH
Hivyo Kwa saa 72 utatumia 7.2KwH
Sasa tuiridishe hiyo KiloWatts Hour irudi kwenye power ya battery.
Itakuwa:
7.2KwH x 1000W=7200Watts
Kutoka kwenye formula
Watt(p)=Volt(v) x Current(I)
Basi 7200=12 x I
I=7200÷12
=600A
Kwa hiyo unahitaji battery ya N600 , kwa 12V
Mtaalamu heshima Kwako mkuu. Naomba msaada wako wa kitaalamu kaka. Je ninaweza kuOpt kutumia deep frier ya umeme lakini instead ya umeme wa tanesco nikatumia umeme wa solar? Ni zipi advantage disadvantage za option hii au changamoto zake ukilinganisha na matumizi ya deep frier ya gas? Idea niko nayo ni kutumia solar kwa ajili ya deep frier na ile griller ya chapati ktk biashara yangu ya cafe. Lakini kwanza ninahitaji kupata muongozo wa kitaalamu. Natanguliza shukran zangu na ubarikiwe snSawa baba ni hivi
Load yako = 100 Watts
System voltage = 12Volts DC
So hapo tunachukua Wattage gawanya kwa Voltage ili tupate current ya load yako
100W / 12V = 8.33 A
So continuous current ya load yako ni ampea 8.33
>>> Hapo tumeshapata Current ( ampere) - A sasa sasa inabidi tuje tumix iyo ampea na hours/ masaa kwa sababu battery linapimwa kwa ampere hour ambayo tunaiita (N).
>>> So sasa tuna ampere 8.33 Izidishe na masaa unayotaka.
>>> umesema unataka Siku 3 ambazo ni sawa na ma masaa 72
Hivyo basi:-
Chukua ampere zidisha na masaa
8.33 X 72 = 600 Ampere hour
so unahitaji battery capacity ya 600Ah/ N600
hizo ni sawa na battery 3 za N 200
au sawa na battery 6 za N 100
Lakini kwa uhakika zaidi wa mfumo na kufidia Loss ya power na ile kutokufanya kazi kwa vitu kwa 100% unatakiwa uweke Tolerance hapo. Mm nashauri utumie 25%
so chukua 600 x 0.25 = 150
Sasa unaweza ongeza 150Ah kwenye ile 600Ah na hivyo kupata 750Ah
Sasa kwenye mfungo wa battery hakikisha inakaribia au inafikia 750Ah
I got you SirSawa baba ni hivi
Load yako = 100 Watts
System voltage = 12Volts DC
So hapo tunachukua Wattage gawanya kwa Voltage ili tupate current ya load yako
100W / 12V = 8.33 A
So continuous current ya load yako ni ampea 8.33
>>> Hapo tumeshapata Current ( ampere) - A sasa sasa inabidi tuje tumix iyo ampea na hours/ masaa kwa sababu battery linapimwa kwa ampere hour ambayo tunaiita (N).
>>> So sasa tuna ampere 8.33 Izidishe na masaa unayotaka.
>>> umesema unataka Siku 3 ambazo ni sawa na ma masaa 72
Hivyo basi:-
Chukua ampere zidisha na masaa
8.33 X 72 = 600 Ampere hour
so unahitaji battery capacity ya 600Ah/ N600
hizo ni sawa na battery 3 za N 200
au sawa na battery 6 za N 100
Lakini kwa uhakika zaidi wa mfumo na kufidia Loss ya power na ile kutokufanya kazi kwa vitu kwa 100% unatakiwa uweke Tolerance hapo. Mm nashauri utumie 25%
so chukua 600 x 0.25 = 150
Sasa unaweza ongeza 150Ah kwenye ile 600Ah na hivyo kupata 750Ah
Sasa kwenye mfungo wa battery hakikisha inakaribia au inafikia 750Ah
Kwaio bettri 4 kwa N 200 au 7 kwa N 100Sawa baba ni hivi
Load yako = 100 Watts
System voltage = 12Volts DC
So hapo tunachukua Wattage gawanya kwa Voltage ili tupate current ya load yako
100W / 12V = 8.33 A
So continuous current ya load yako ni ampea 8.33
>>> Hapo tumeshapata Current ( ampere) - A sasa sasa inabidi tuje tumix iyo ampea na hours/ masaa kwa sababu battery linapimwa kwa ampere hour ambayo tunaiita (N).
>>> So sasa tuna ampere 8.33 Izidishe na masaa unayotaka.
>>> umesema unataka Siku 3 ambazo ni sawa na ma masaa 72
Hivyo basi:-
Chukua ampere zidisha na masaa
8.33 X 72 = 600 Ampere hour
so unahitaji battery capacity ya 600Ah/ N600
hizo ni sawa na battery 3 za N 200
au sawa na battery 6 za N 100
Lakini kwa uhakika zaidi wa mfumo na kufidia Loss ya power na ile kutokufanya kazi kwa vitu kwa 100% unatakiwa uweke Tolerance hapo. Mm nashauri utumie 25%
so chukua 600 x 0.25 = 150
Sasa unaweza ongeza 150Ah kwenye ile 600Ah na hivyo kupata 750Ah
Sasa kwenye mfungo wa battery hakikisha inakaribia au inafikia 750Ah
Kwaio bettri 4 kwa N 200 au 7 kwa N 100
Unatakiwa kuuliza kuwa unahitaji betri ya capacity gani in Ah/mAh or watt hours (Wh) inayoweza kukaa na chaji kwa siku 3 kama kifaa chako kinatumia Volt kadhaa na watts 100. Battery zinakua rated kutokana na Volt zinazotumika na hcho kifaa chako. Sio kwamba betri ikiwa na volt kubwa ndo inakaa na charge sana.Wadau habari zenu naomba msaada kwa anae jua umeme wa bettri lolote la maji au kavu. Nahitaji kujua volt ngap inahitajika ili bettri liweze kukaa na chaji hata siku 3 ikiwa jumla ya matumizi ya vyombo vyangu ni watts 100.
Hapo ume assume voltage ya kifaa chake ni 12V. Inabidi aseme ni kifaa gani na specifications zake zimesema kinatumia voltage kiasi gani? Au kinatumia current kiasi gani?Sawa baba ni hivi
Load yako = 100 Watts
System voltage = 12Volts DC
So hapo tunachukua Wattage gawanya kwa Voltage ili tupate current ya load yako
100W / 12V = 8.33 A
So continuous current ya load yako ni ampea 8.33
>>> Hapo tumeshapata Current ( ampere) - A sasa sasa inabidi tuje tumix iyo ampea na hours/ masaa kwa sababu battery linapimwa kwa ampere hour ambayo tunaiita (N).
>>> So sasa tuna ampere 8.33 Izidishe na masaa unayotaka.
>>> umesema unataka Siku 3 ambazo ni sawa na ma masaa 72
Hivyo basi:-
Chukua ampere zidisha na masaa
8.33 X 72 = 600 Ampere hour
so unahitaji battery capacity ya 600Ah/ N600
hizo ni sawa na battery 3 za N 200
au sawa na battery 6 za N 100
Lakini kwa uhakika zaidi wa mfumo na kufidia Loss ya power na ile kutokufanya kazi kwa vitu kwa 100% unatakiwa uweke Tolerance hapo. Mm nashauri utumie 25%
so chukua 600 x 0.25 = 150
Sasa unaweza ongeza 150Ah kwenye ile 600Ah na hivyo kupata 750Ah
Sasa kwenye mfungo wa battery hakikisha inakaribia au inafikia 750Ah
Hapo ume assume voltage ya kifaa chake ni 12V. Inabidi aseme ni kifaa gani na specifications zake zimesema kinatumia voltage kiasi gani? Au kinatumia current kiasi gani?