Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,164
- 13,549
Ndio mkuu naweza Mustaphagentleman tafadhali tuwasiliane pm kwa maelezo zaidi nipo serious katika hili.Unaweza kupeleka Gari mikoani kwa Wateja wanaoagiza Gari zao?
Ndio mkuu naweza Mustaphagentleman tafadhali tuwasiliane pm kwa maelezo zaidi nipo serious katika hili.Unaweza kupeleka Gari mikoani kwa Wateja wanaoagiza Gari zao?
mkuu kwani kujiajiri hakuitaji connection?mshauri kuhusu connections... sio unaropoka eti changamsha akili jiajiriKuajiriwa sio ishu jaribu kuchangamsha akili zako ili uangalie fursa za kujiajiri..
Kama atakosa connection atasubili mpaka lini kusubilia kitu ambacho hana uhakika lini atakipata...usiwe mvivu wa kufikiri sumbua hakili yakomkuu kwani kujiajiri hakuitaji connection?mshauri kuhusu connections... sio unaropoka eti changamsha akili jiajiri
Kama atakosa connection atasubili mpaka lini kusubilia kitu ambacho hana uhakika lini atakipata...usiwe mvivu wa kufikiri sumbua hakil yakoQUOTE]
mkuu ata kujiajiri kunahtaji connections acha kufikiri kama digi digi.
sent from SIEMENS mkonge.
Mustapha naomba unicheki Whatssap 0718654070Unaweza kupeleka Gari mikoani kwa Wateja wanaoagiza Gari zao?