Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 643
Salaam nyingi sana wana JF,
Ni ukweli uliowazi kwamba, kadri miaka inavyozidi kusonga mbele, teknolojia nayo inakua kwa kasi sana, mitandao ya kijamii nayo inashika kasi kuendana na mabadiliko bila kuisahau Jf nayo pia.
WHATSAPP, Telegram, Facebook, Instagram, Twitter n k
Imekua ni mitandao inayotumiwa na mamilion ya watu kuonganisha watu kazi , biashara na elimu mbalimbali kutoka sehemu tofauti tofauti duniani
Leo nilikua naomba watu wapeane connection za makundi mbali mbali ya biashara huko mitandaoni ambayo ni reliable , naamini kupitia uzi huu utasaidia mtu au watu kwa njia moja ama nyingine
Ahsante
Ni ukweli uliowazi kwamba, kadri miaka inavyozidi kusonga mbele, teknolojia nayo inakua kwa kasi sana, mitandao ya kijamii nayo inashika kasi kuendana na mabadiliko bila kuisahau Jf nayo pia.
WHATSAPP, Telegram, Facebook, Instagram, Twitter n k
Imekua ni mitandao inayotumiwa na mamilion ya watu kuonganisha watu kazi , biashara na elimu mbalimbali kutoka sehemu tofauti tofauti duniani
Leo nilikua naomba watu wapeane connection za makundi mbali mbali ya biashara huko mitandaoni ambayo ni reliable , naamini kupitia uzi huu utasaidia mtu au watu kwa njia moja ama nyingine
Ahsante