Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,459
- 11,228
S
Mkuu kuna mambo y chinchini San has kwa sisi social scientist, juzi nmembiwa hao ***** wamepigia wanaojuana naoKuwa na subira utapata.
Barua mkuu nimepeleka ila mambo siku hizi hayapo hivyo.. Unapeleka taasisi 6 hupat hat moja, wanaopata wameunganishwaivi hiyo connection mnayo tafuta wanafunzi wa siku hizi mbona mimi sielewei...enzi zetu field tulikuwa tunaenda popote na mambo yalikuwa shwali...ebu funga safari upeleke barua yako ya utambulisho kutoka chuo....hapa hakuna atakae kusaidia.
Shukran mkuu.. NawasubiriKila la kheri... Ngoja waje kukupa muongozo...
Be positiveKama field inatafutwa kwa dizain hiii utapata tu
Kama field hivi ushawaza ajira itakuwaje😆 jiamin. Na ukienda kwenye ofisi usiache barua ya field kwa mlinzi au mapokezi omba kuonana na department husika ukishindwa hata hr au manager. Mostly top rank staff hawana shida. Kimbembe nihawa wanaopokea hela ya mboga😬Wakuu nimejaribu kuomba kujuzwa kuhusu taasisi naona kimya sana watu mmejichimbia siasani mara kigogo. Wengine mmejazana kwenye mada za utamu mara kibamia mnasahau tunahitaji uwepo wenu kwenye mambo ya msingi kule jukwaa la elimu. Wakuu nawaomba koneksheni taasisi zisizo za kiserikali nikafanye field.
1. World vision
2. MDH
3. UNICEF
4. Tancda
5. Nacopha
6. Pathfinder
7. Plan international
8. Pact Tanzania
9. Azania bank
10. Sanitas
11. TMJ medical centre
Na taaisisi nyingine zinazofanana na hizo wakuu.
Tusaidiane
Hili dongoKama field inatafutwa kwa dizain hiii utapata tu
La aina gani mkuuHili dongo
Shukran mkuuKuna sehemu huwezi kosa field kama upo dar peleka NSSF nafasi huwa zipo nyingi sana