Congo inaongoza kuwa na viongozi bora wa upinzani Afrika Mashariki

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Kuna utafiti nimeufanya nimegundua katika nchi zilizopo Africa Mashariki nimegundua hizi ndio nchi tano pekee zenye viongozi bora wa upinzani.

1. JAMUHURI YA KIDEMOKRASIA YA CONGO
hii ndio nchi pekee wapinzani wameungana kumpinga raisi kabila lakini pia wapinzani kuikataa kushiriki katika serikali ya umoja kitaifa bila kabila kuondoka.

Wapinzani wa congo walienda mbali zaidi kusema uwepo wa mpinzani ndani ya serikali ya umoja wa kitaifa chini ya kabila ni sawa na kuwasaliti wananchi wanaompinga kabila.

2. BURUNDI - Huko nchini burundi ndiyo nchi pekee wapinzani wamejitoa muhanga kupinga muhula wa tatu wa nkurunzinza.

3. KENYA - Viongozi wa upinzani waliungana pamoja bila kujali itikadi za vyama vyao walipoungana na kudai tume huru ya uchaguzi.

Wakati nchi za wenzetu wapinzani wakiungana huku kwetu vyama vya upinzani vina migogoro vurugu ndani ya vyama mara kuna fukuza fukuzaa duu.
 
Tangu lini msela wa manzese akajua jiografia,manzese kukaba na roba za mbao ndio zenu

Kongo haiko afrika mashariki,ukitumia madawa ya kulevya hayawezi kukuacha salama
 
Tangu lini msela wa manzese akajua jiografia,manzese kukaba na roba za mbao ndio zenu

Kongo haiko afrika mashariki,ukitumia madawa ya kulevya hayawezi kukuacha salama
Haya sawa baba nimekosea jiografia lete point yako
 
Anyway haijalishi iko wapi lakini nachojua tumepakana na congo
Dah, kwahiyo kupakana na nchi ndio kunaifanya iwe Africa Mashariki? Basi ngoja tuseme Malawi, Zambia na Msumbiji Ni Africa Mashariki according to you Mkuu.
 
Una mawazo mazuri.....ila ungetulia ungetupostia uzi mzuri zaidi..Ahsante anyway...
 
Back
Top Bottom